"Makosa"tunayofanya kwenye mahusiano

Si kila mtu anakosa akili muda fulani...?


which, can, rationally, be agreed, I mean hakuna ubaya kukosa akili kwa muda fulani...mbaya ni kukosa akili kwa muda wote, siyo hommie?
 
Mkuu kama yaonekana ni mjuzi sana wa hizi styles.
Hebu tumit kwenye jukwaa la mambo yetu kule utudadavulie kwa kina mkuu.


dah.,,,,ngoja nitafute access...
 

tunaomba uthibitisho wa ''ki-sayansi''
infact tunaomba link za journal kutoka kwa gaijin
 
Hahah Kaizer nilijua hiyo sentensi ya mwisho lazima iwepo ..Haya Teamo na RR mna la kuongezea?
Standards za ISO haziongezewi au kupunguzwa .....
Kaizer kanukuu 'standard' tu...
 
niliropokaga hakuna TX wa mapenzi.... Leta maarifa mtoa mada!!
 
Standards za ISO haziongezewi au kupunguzwa .....
Kaizer kanukuu 'standard' tu...
ni kama biblia vile!
fl1 anataka tuongeze maneno kwenye sala ya ''BABA YETU''
 
Asante shemeji.Ila sina uhakika na haniii wangu MSD kama nae atalipenda hili vazi la zamani.Nimekumisi lakini...hivi nimekukosea nini??????????


Shemeji....wala hakuna tatizo kabisa kuwa na amani.....MSD yeye kila ukifanyacho kwako haoni hasikii haambiwi.......(alininong'oneza ivyo)
 
ni kama biblia vile!
fl1 anataka tuongeze maneno kwenye sala ya ''BABA YETU''

Sala ya Baba yetu au Sala Ya Bwana?

Ntarudi tena kanisani kwa ajili ya Kipa-Imara.

SORTILEGIO!
-The Love Spell
''...well played,and well won..''
 
tunaomba uthibitisho wa ''ki-sayansi''
infact tunaomba link za journal kutoka kwa gaijin


In fact ningeshangaa kama mpwa usingeweka hii 'post'.... zile umeshazisoma ama zimekuwna'ngumu'?
 
Mmm... infedelity wakati mwingine watu huzamia na kusahau ndani. hahahaha..... umeongea kweli mapenzi yankuja tu yenyewe. kitu sumaku si mpaka maprofesion.
 
Sala ya Baba yetu au Sala Ya Bwana?

Ntarudi tena kanisani kwa ajili ya Kipa-Imara.

SORTILEGIO!
-The Love Spell
''...well played,and well won..''
sala ya bwana hiyo naona!hehehehehe.....
hivi matesha lini atapata ''u-juma kaseja?''
 
In fact ningeshangaa kama mpwa usingeweka hii 'post'.... zile umeshazisoma ama zimekuwna'ngumu'?
mezisoma zile!
nimelipia usd 35 kwa ajili ya zile journal!lakini sikuona hii kitu!....
wapi mamaaa la jouranal ''gaijin''?
 
sala ya bwana hiyo naona!hehehehehe.....
hivi matesha lini atapata ''u-juma kaseja?''
Anza kukusanya za mbuzi....Ahadi ni Deni.

Sasa turudi kwenye mada.... wewe huwa unajiachia na mshiki au mpaka usome ma-journals?

Alichosahau mtukufu hommie Kaizer, ni kutoihusisha Valuu katika tendo hilo takatifu.:smile-big:
 
I buy e'thing in Kaizer's post but infidelity no!NO!NO! i beg! i beg! ibeg x10
 
mezisoma zile!
nimelipia usd 35 kwa ajili ya zile journal!lakini sikuona hii kitu!....
wapi mamaaa la jouranal ''gaijin''?


nadhani ataingia muda sio mrefu bado 'amelala'.....ila sasa hii ni 'discipline' nyingine....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…