"Makosa"tunayofanya kwenye mahusiano

cant you say something?about Kaizer comments......Mie nina ARV'S za CHEZUMWI na hata TIBA.....COME ON ALL mpate dawa......
Are you available for practical "explanations"? Knock! Knock!
 
Kaizer the great!

Wengine ndio tumeanza kujinyima kula (chochote) rasmi leo for the next 30 days!

Ushauri wako nitaufanyia kazi though...
 
na tusisahau men are from mars, women are from venus, ukikutanisha hivi viwili hapakosekaniki migongano, namna zao za kufikiria ziko tofauti kabisa, its true ukijaribu kupima mwanamke na mwanaume wanaweza kusema neno moja lakini likawa na maana mbili tofauti.
 
Kaizer the great!

Wengine ndio tumeanza kujinyima kula (chochote) rasmi leo for the next 30 days!

Ushauri wako nitaufanyia kazi though...

Long Live Ramadan!!

Kina Eliza takuwa nabadilisha kama vyupi mwezi zima!! Gesti tashuka bei!!!!!!!!!!
 
Kaizer the great!

Wengine ndio tumeanza kujinyima kula (chochote) rasmi leo for the next 30 days!

Ushauri wako nitaufanyia kazi though...
Mnajinyima kula??!!/............Mbona vyakula vimepanda bei???
 
I am seriously contributing my comments for the useful post!...
no more jokes sasa!

KAIZER NADHANI UPO SAHIHI SANA TU KWA ULICHOKIELEZEA!....
the bottom line ni kwamba mapenzi yanahitaji maandalizi.mwisho wa siku lazima kuwe na saikolojiko mind-build up,lazima uwahi kurudi nyumbani ushiriki dinner labda na kuangalia tamthilia then off to bed!

i dunno how to put it lakini my point ni kwamba kabla hamjaingia tabenako ni lazima kuwe na mambo mawili au matatu mliyoyafanya kwa pamoja,otherwise hamtainjoi hiyo kitu!....
 
Long Live Ramadan!!

Kina Eliza takuwa nabadilisha kama vyupi mwezi zima!! Gesti tashuka bei!!!!!!!!!!

WHAT?????????!!!!!!! now you are going far!!!!Iam tired of illusions
Yamtokayo mtu mdomoni ndio yamjazayo...
 


Kabisa TATE....ndio maana wengine wanaona yamewashinda baada ya 1 year kwa sababu script aliyoingia nayo inakuwa imefika mwisho wake...ni kama tamthilia vile...sasa namna hiyo haiapply kwenye mahusiano hasa ya kudumu!
 

na pia sasa Tabenako sio LAZIMA iwe usiku....inaweza kuwa asubuhi, au mchana ukatoroka kazini ukaja home mara moja, and the like. sasa hapo nilipobold nambie umetoa journal ipi? LOL
 
na pia sasa Tabenako sio LAZIMA iwe usiku....inaweza kuwa asubuhi, au mchana ukatoroka kazini ukaja home mara moja, and the like. sasa hapo nilipobold nambie umetoa journal ipi? LOL
zile zile za gaijin mpwa....!
sasa habari ya kutoroka kazini ni kama umenipa ''ujanja'' mpya
 
na pia sasa Tabenako sio LAZIMA iwe usiku....inaweza kuwa asubuhi, au mchana ukatoroka kazini ukaja home mara moja, and the like. sasa hapo nilipobold nambie umetoa journal ipi? LOL
Utapotosha wadogo zangu hapo sasa.

zile zile za gaijin mpwa....!
sasa habari ya kutoroka kazini ni kama umenipa ''ujanja'' mpya
Ukifukuzwa kazi ukawa hauna kipato....... mkeo akakuzidi kipato......... Tunarudi kulekule kwenye journals. Tabenako itageuka Jahanamu ndogo. Usije ukasema sijakuonya.
 
WHAT?????????!!!!!!! now you are going far!!!!Iam tired of illusions
Yamtokayo mtu mdomoni ndio yamjazayo...
Usishtuke hebu msome Keizer hapa chini.....
 
Utapotosha wadogo zangu hapo sasa.

Ukifukuzwa kazi ukawa hauna kipato....... mkeo akakuzidi kipato......... Tunarudi kulekule kwenye journals. Tabenako itageuka Jahanamu ndogo. Usije ukasema sijakuonya.
noted...!WITH MANY PAKITIIIZ OF VALUU
 

Hapo napinga kwa nguvu zangu zote! Siyo LAZIMA.
 
Hapo napinga kwa nguvu zangu zote! Siyo LAZIMA.
kupinga ni ruxa mkuu!...kwasababu hizi si kauli za JOURNALS,ni mawazo binafsi...!kitu chochote chaweza fanyika point ni kuwaweka kwenye mood ya mapenzi...!mimi huwa napendelea KUSALI ROZALI kabla ya kuingia tabenako
 
Hapo napinga kwa nguvu zangu zote! Siyo LAZIMA.
hahaha najua hommie kwa nini unapinga maana tukianza hii kitu tutaelekea kule kwenye ile thread ya kusaidiana kupika..hommie unakumbukumbu weye hutaki kunasa kabsaa....!!
 
kupinga ni ruxa mkuu!...kwasababu hizi si kauli za JOURNALS,ni mawazo binafsi...!kitu chochote chaweza fanyika point ni kuwaweka kwenye mood ya mapenzi...!mimi huwa napendelea KUSALI ROZALI kabla ya kuingia tabenako
Rozari ile ulioisahau kwenye:car: au ipi? Hivi Unavyoondoka kwa Viki pale Pemba hata daireksheni ya kurudi home unaisahau mpaka uelekezwe, hiyo rozari unaisalia wapi?:confused2: Ila uzuri huwa tuna:lalala: pale kaunta kwa hiyo tukirudi nyumani tunamalizia tu :amen: then tabenako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…