hujawahi kumiliki gari.hiyo faini ya 30,000 ni ndogo mno, pengine ni wajibu sasa faini iendane na thamani ya gari 15% kama HESLB.
No, orodha ya makosa sio kubwa mkuu. BASIC TRAFFIC OFFENCES zipo 20 tu. Ukizifuata hizo kamwe huwezi kukumbana na dhahama ya matrafik uwapo barabarani. Ngoja nizitafute halafu nikuwekee hapa.Kila kosa la traffic faini ni tsh 30,000 pia kutegemeana na discretion yake anaweza kukupeleka mahakamani.Orodha ya makosa ni kubwa mno,hebu tafuta traffic act.Ukweli ni kuwa kama traffic watahamua kuifuata sheria kama ilivyo magari mengi tutayapaki na faini tutalipa kila siku.
Itakuwa vzuri kama ukiziweka hapa mkuu ili tuzijueNo, orodha ya makosa sio kubwa mkuu. BASIC TRAFFIC OFFENCES zipo 20 tu. Ukizifuata hizo kamwe huwezi kukumbana na dhahama ya matrafik uwapo barabarani. Ngoja nizitafute halafu nikuwekee hapa.
We unaonekana hata bodaboda hujawah kumilikihiyo faini ya 30,000 ni ndogo mno, pengine ni wajibu sasa faini iendane na thamani ya gari 15% kama HESLB.
Nakusubili mkuuNo, orodha ya makosa sio kubwa mkuu. BASIC TRAFFIC OFFENCES zipo 20 tu. Ukizifuata hizo kamwe huwezi kukumbana na dhahama ya matrafik uwapo barabarani. Ngoja nizitafute halafu nikuwekee hapa.
Ni Tanzania tu inayoyetegemea mapato kuongezeka kutokana na faini za barabarani,FainI kwa % ya thamani ya gari itasaidia kuongeza mapato.
Hii hapa wakuuItakuwa vzuri kama ukiziweka hapa mkuu ili tuzijue
Nakusubili mkuu