Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Tukubali kwamba nchi au wanamikakati wa siasa za Tanzania waliopo Sasa wamekosa mikakati.
Tukubali kwamba dola imekwama sehemu katika kuplan na kutekeleza mikakati yao.
Tukubali kwamba wasomi waliokabidhiwa dhamana ya kutuongoza ikiwemo tume imekosa uzalendo na kujisimamia.
Tukubali kwamba tumekuwa tunatumia nguvu na amri kwenye Mambo yanayohitaji mikakati.
Kwanini tumtoe mtu mahabusu usiku na asubuhi tumwapishe? Kwani tungemruhusu akawa uraiani kwa miezi kadhaa au siku kadhaa mkakati usingetimia?
Kwanini tume ivunje sheria waziwazi bila hata kificho? Kwanini Bunge liwe kijiwe Cha watu wachache kufanya wanavyoona inafaa? Kwanini vyombo hivi vinajidhalilisha?
Mnyika kwa press moja ya leo amevivua nguo vyombo hivi, chadema kila siku wamekuwa wakitumia madhaifu haya ya kimfumo kupata simpathy ya wananchi Jambo linalowaimarisha kila siku.
Dola mnakosaje strategists?
Tukubali kwamba dola imekwama sehemu katika kuplan na kutekeleza mikakati yao.
Tukubali kwamba wasomi waliokabidhiwa dhamana ya kutuongoza ikiwemo tume imekosa uzalendo na kujisimamia.
Tukubali kwamba tumekuwa tunatumia nguvu na amri kwenye Mambo yanayohitaji mikakati.
Kwanini tumtoe mtu mahabusu usiku na asubuhi tumwapishe? Kwani tungemruhusu akawa uraiani kwa miezi kadhaa au siku kadhaa mkakati usingetimia?
Kwanini tume ivunje sheria waziwazi bila hata kificho? Kwanini Bunge liwe kijiwe Cha watu wachache kufanya wanavyoona inafaa? Kwanini vyombo hivi vinajidhalilisha?
Mnyika kwa press moja ya leo amevivua nguo vyombo hivi, chadema kila siku wamekuwa wakitumia madhaifu haya ya kimfumo kupata simpathy ya wananchi Jambo linalowaimarisha kila siku.
Dola mnakosaje strategists?