Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Salaam ndugu zangu,
Kiswahili ni miongoni mwa lugha zinazokua kwa kasi kwa sasa ulimwenguni. Lugha hii inazidi kusambaa Kijiografia pamoja na kuongeza idadi ya wazungumzaji kila kukicha.
Pamoja na mafanikio haya ya lugha ya Kiswahili bado watumiaji wake wengi wanafanya makosa mbalimbali katika matumizi ya misamiati, sentensi, mantiki, matamshi na uandishi.
Tuutumie uzi huu kufahamishana makosa ya lugha yaliyozoeleka pamoja na usahihi wake.
1. Misamiati
Je, maneno gani mengine unayoyafahamu?
Karibu uchangie tujifunze
Kiswahili ni miongoni mwa lugha zinazokua kwa kasi kwa sasa ulimwenguni. Lugha hii inazidi kusambaa Kijiografia pamoja na kuongeza idadi ya wazungumzaji kila kukicha.
Pamoja na mafanikio haya ya lugha ya Kiswahili bado watumiaji wake wengi wanafanya makosa mbalimbali katika matumizi ya misamiati, sentensi, mantiki, matamshi na uandishi.
Tuutumie uzi huu kufahamishana makosa ya lugha yaliyozoeleka pamoja na usahihi wake.
1. Misamiati
Makosa | Usahihi |
| Kuroga | Kuloga |
| Hovyo | Ovyo |
| Uwongo | Uongo |
| Nilikua | Nilikuwa |
| Umaskini | Umasikini |
| Hatima | Hatma |
| Fikira | Fikra |
| Aiiuwawa | Aliuawa |
| Ndio | Ndiyo |
| Maswala | Masuala |
| Sio | Siyo |
Je, maneno gani mengine unayoyafahamu?
Karibu uchangie tujifunze