Shomari kawambwa
New Member
- Mar 1, 2018
- 2
- 2
Inasemekana kwamba, vyombo vya habari vya Tanzania vinafanya makosa ya matamshi, maandishi na maana katika maneno, istilahi na sentensi za kiswahili sanufi.
Kutokana uvumi huo, makala hii imeona ni vyema makosa hayo yakatafitiwa na Kubainishwa usahihi wake.
Makala hii inakusudia kuchunguza na kuyabainisha makosa hayo kwa makini pamoja na kuchunguza sababu na udhaifu wa vyombo vya habari vya Tanzania katika kuyafanya makosa hayo.
Je, nimakosa yapi hayo na usahihi wake na nini kifanyike?
Kutokana uvumi huo, makala hii imeona ni vyema makosa hayo yakatafitiwa na Kubainishwa usahihi wake.
Makala hii inakusudia kuchunguza na kuyabainisha makosa hayo kwa makini pamoja na kuchunguza sababu na udhaifu wa vyombo vya habari vya Tanzania katika kuyafanya makosa hayo.
Je, nimakosa yapi hayo na usahihi wake na nini kifanyike?