Makosa ya Musiba, hayalingani na tamaa ya Membe!

Makosa ya Musiba, hayalingani na tamaa ya Membe!

Trable

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2023
Posts
1,781
Reaction score
3,288
Sitetei chochote kuhusu yaliyojiri kumhusu mh Membe yakimhusisha mmiliki wa magazeti ya Tanzanite kumdhalilisha mh Membe kwa kumchafua, na sipangani na sheria yoyote ya nchi iliyotumika, ila naiona tamaa kubwa isiyo na mantiki kutoka kwa mh Bernard Membe ya kutaka ujira mkubwa usiolingana na kile wengi wanakiita ni kudhalilishwa

Hata tungelimshirikisha asiye na akili kuhusu madai hayo ya bilioni 9 kwa kosa tu la kuandikwa vibaya Mh Membe kwenye gazeti, nina hakika angelicheka kwa huzuni na mshangao, naamini, kila kitu Msiba atauza na pesa haitatosha, mwisho wa siku ni nini? Kwa nini asifungwe maisha?

Naamini pia hata watoto wake ikiwa wana utu tu wa mbaali kabisa, wanaishangaa hii hukumu na tamaa iliyopitiza kiwango!

Msiba anayo makosa makubwa na hahitaji kutetewa, lakini bilioni 9 kwa kosa hilo, ni tamaa ya mlipwaji na inamdhalilisha mlipwaji

J.mosi njema
 
Membe na nduguze walinyanyasika sana awamu ya tano. Kama hujawahi kuwa karibu na wanafamilia yake huwezifahamu namna walivyoishi kinyonge.
Hata kama, wewe unadhani bilion 9 ndio faraja kwao?
 
Stetei chochote kuhusu yaliyojiri kumhusu mh Membe yakimhusisha mmiliki wa magazeti ya Tananite kumdhalilisha mh Membe kwa kumchafua, ila naiona tamaa kubwa isiyo na mantiki kutoka kwa mh Benard Membe ya kutaka ujira mkubwa usiolingana na kile wengi wanakiita ni kudhalilishwa

Hata tungelimshirikisha asiye na akili kuhusu madai hayo ya bilioni 9 kwa kosa tu la kuandikwa vibaya Mh Membe kwenye gazeti, ninahakika angelicheka kwa huzuni na mshangao

Naamini pia hata watoto wake ikiwa wana utu tu wa mbaali kabisa, wanaishangaa hii hukumu na tamaa iliyopitiza kiwango!

Msiba anayo makosa makubwa na hahitaji kutetewa, lakini bilioni 9 kwa kosa hilo, ni tamaa ya mlipwaji na inamdhalilisha mlipwaji

J.mosi njema
Kwani kuna dhambi kuwa na tamaa? Muache atamani anavyotaka ila lazima huyo kenge ashikishwe adabu
 
Stetei chochote kuhusu yaliyojiri kumhusu mh Membe yakimhusisha mmiliki wa magazeti ya Tananite kumdhalilisha mh Membe kwa kumchafua, ila naiona tamaa kubwa isiyo na mantiki kutoka kwa mh Benard Membe ya kutaka ujira mkubwa usiolingana na kile wengi wanakiita ni kudhalilishwa

Hata tungelimshirikisha asiye na akili kuhusu madai hayo ya bilioni 9 kwa kosa tu la kuandikwa vibaya Mh Membe kwenye gazeti, ninahakika angelicheka kwa huzuni na mshangao

Naamini pia hata watoto wake ikiwa wana utu tu wa mbaali kabisa, wanaishangaa hii hukumu na tamaa iliyopitiza kiwango!

Msiba anayo makosa makubwa na hahitaji kutetewa, lakini bilioni 9 kwa kosa hilo, ni tamaa ya mlipwaji na inamdhalilisha mlipwaji

J.mosi njema
Kwani hukumu katoa Membe? Au aliwatuma mahakama kutoa hukumu ya hiyo?
 
Hata kama, wewe unadhani bilion 9 ndio faraja kwao?
Hata kama sio faraja. Itasaidia kujenga utaratibu wa kuheshimu utu wa mtu. Kisa tu mtu hakubaliani hoja yako ndio utake kumfilisi?

Umfanye mtu na ndugu zake waishi bila amani wakati wameshiriki kuijenga Tanzania unayoiongoza wewe.

Angalau sasa hivi, nduguze wanaamani kuliko kipindi kile.
 
Stetei chochote kuhusu yaliyojiri kumhusu mh Membe yakimhusisha mmiliki wa magazeti ya Tananite kumdhalilisha mh Membe kwa kumchafua, ila naiona tamaa kubwa isiyo na mantiki kutoka kwa mh Benard Membe ya kutaka ujira mkubwa usiolingana na kile wengi wanakiita ni kudhalilishwa

Hata tungelimshirikisha asiye na akili kuhusu madai hayo ya bilioni 9 kwa kosa tu la kuandikwa vibaya Mh Membe kwenye gazeti, ninahakika angelicheka kwa huzuni na mshangao

Naamini pia hata watoto wake ikiwa wana utu tu wa mbaali kabisa, wanaishangaa hii hukumu na tamaa iliyopitiza kiwango!

Msiba anayo makosa makubwa na hahitaji kutetewa, lakini bilioni 9 kwa kosa hilo, ni tamaa ya mlipwaji na inamdhalilisha mlipwaji

J.mosi njema
Ebu toa hesabu yako kuhusu fidia aliyostahili kulipwa, kuliko kuiacha mada yako ikielea tu angani. Je! Kama kiasi cha mabilioni ni kikubwa sana, unashauri kiasi cha fidia kingalipaswa kiwe katika makadirio ya maelfu, malaki ama mamilioni ya fedha za Kitanzania!?

Weka wazi nini unachokifahamu kuhusu ukubwa wa kosa ambalo alifanyiwa mbele ya macho ya sheria, kisha uainishe na kiwango cha madhara ya kosa hilo kwa Membe. Na hatimaye ujenge hoja yenye mantiki kuhusu kadirio la chini kabisa, na pia lile la juu kabisa la kiasi cha fidia unachofikiria kinafaa alipwe. Kisha ndipo ulete jumuisho lako kwa kuainisha tamaa ya Membe katika fidia hiyo.
 
Back
Top Bottom