Makosa ya utumiaji wa R na L humu JF.

Makosa ya utumiaji wa R na L humu JF.

h120

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2012
Posts
2,544
Reaction score
3,361
Wale wote mnaotumia R kwenye L, jitahidini mwaka 2014 muache kabisa, kwa hizi siku 6 zilizobaki endeleeni kutumia ra ra zenu ila january tafadhalini sana,
Nadhani mnajijua wale wa:

Tubadirishane
Badiri
Urimbikizaji.


Happy xmas jf.
 
Na wale wa mishahala nao inawahusu hii.
 
Back
Top Bottom