Pre GE2025 Makosa yaliyofanyika Kura za maoni CCM (Tamisemi) yatajirudia 2025 kuwapitisha Wabunge na Madiwani wa Mbeleko ya Shujaa Magufuli, Tutapata Tabu sana!

Pre GE2025 Makosa yaliyofanyika Kura za maoni CCM (Tamisemi) yatajirudia 2025 kuwapitisha Wabunge na Madiwani wa Mbeleko ya Shujaa Magufuli, Tutapata Tabu sana!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
2025 kama CCM itashindwa kuwapitisha Wagombea wa Ubunge na Udiwani wanaokubalika na Wananchi basi Tutapata Tabu sana

Wabunge na madiwani wengi wa sasa siyo Chaguo la Wananchi bali Wateule wa Mwendazake Shujaa Magufuli

Hata tunayoyashuhudia baada ya Kura za maoni CCM za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni mvua ya rasharasha mvua ya MAWE ni 2025

Jumaa Mubarak 😀
 
Back
Top Bottom