Maktaba ya TBC ipo kwa ajili ya manufaa ya nani?

Maktaba ya TBC ipo kwa ajili ya manufaa ya nani?

Kiparuanda

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2013
Posts
1,587
Reaction score
2,389
Ukisikiliza au kutazama TBC wanakuambia wao ni moja ya mashirika Afrika yenye maktaba kubwa na kongwe zaidi na inawezekana ni kweli kwani ukibahatika kuwakuta wakiwa na mood nzuri huwa wanaonesha video za kale kuanzia harakati za viongozi kabla hata ya uhuru, makala nyingi sana zinazohusu siasa, utamaduni n.k lakini mambo hayo huoneshwa kwa NADRA sana kwani muda mwingi matangazo yao hugubikwa na propaganda.

Majuzi nimesikiliza TBC taifa wamerusha mahojiano ya Jabali la Muziki Hayati Marijani Rajabu kwakweli niwapongeze kwani yalikuwa ya kuvutia na kuelimisha mno ila nadhani ingekuwa vizuri zaidi kama wangeweka records zao public either madukani au mitandaoni mfano YouTube n.k kwa manufaa ya wote wanaohitaji badala ya kutupa adhabu ya kuvizia hadi wanapopata mood ya kurusha hivyo vitu.

Asante.
 
Ukisikiliza au kutazama TBC wanakuambia wao ni moja ya mashirika Afrika yenye maktaba kubwa na kongwe zaidi na inawezekana ni kweli kwani ukibahatika kuwakuta wakiwa na mood nzuri huwa wanaonesha video za kale kuanzia harakati za viongozi kabla hata ya uhuru, makala nyingi sana zinazohusu siasa, utamaduni n.k lakini mambo hayo huoneshwa kwa NADRA sana kwani muda mwingi matangazo yao hugubikwa na propaganda.

Majuzi nimesikiliza TBC taifa wamerusha mahojiano ya Jabali la Muziki Hayati Marijani Rajabu kwakweli niwapongeze kwani yalikuwa ya kuvutia na kuelimisha mno ila nadhani ingekuwa vizuri zaidi kama wangeweka records zao public either madukani au mitandaoni mfano YouTube n.k kwa manufaa ya wote wanaohitaji badala ya kutupa adhabu ya kuvizia hadi wanapopata mood ya kurusha hivyo vitu.

Asante.
WELL, WAZO ZURI
 
Wanasema wanahifadhi ila kiuhalisia ni kwamba WANAFICHA
 
Ukisikiliza au kutazama TBC wanakuambia wao ni moja ya mashirika Afrika yenye maktaba kubwa na kongwe zaidi na inawezekana ni kweli kwani ukibahatika kuwakuta wakiwa na mood nzuri huwa wanaonesha video za kale kuanzia harakati za viongozi kabla hata ya uhuru, makala nyingi sana zinazohusu siasa, utamaduni n.k lakini mambo hayo huoneshwa kwa NADRA sana kwani muda mwingi matangazo yao hugubikwa na propaganda.

Majuzi nimesikiliza TBC taifa wamerusha mahojiano ya Jabali la Muziki Hayati Marijani Rajabu kwakweli niwapongeze kwani yalikuwa ya kuvutia na kuelimisha mno ila nadhani ingekuwa vizuri zaidi kama wangeweka records zao public either madukani au mitandaoni mfano YouTube n.k kwa manufaa ya wote wanaohitaji badala ya kutupa adhabu ya kuvizia hadi wanapopata mood ya kurusha hivyo vitu.

Asante.
Nilisha wahi kushauri hili lakini halijafanikiwa mpaka sasa
 
Back
Top Bottom