Makubwa yaibuka wimbo wa Katika, Navy Kenzo ft Diamond.

Makubwa yaibuka wimbo wa Katika, Navy Kenzo ft Diamond.

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Navy Kenzo hawana budi kumshukuru sana tena zaidi ya sana Diamond Platnumz kwa kuwapandisha kwa kiasi kikubwa kimuziki.

Tangu watoe wimbo wa KATIKA waliomshirikisha Diamond, Navy Kenzo wamefaidika kwa kiasi kikubwa kwa vitu vifiatavyo.

1)Idadi ya mashabiki na followers haswa Instagram tofauti na hapo awali.

2)Hadhi yao ya kimuziki imepanda maradufu.

3)Wameweza kujulikana zaidi kimataifa.

4)Kufikisha Viewers wengi ndani ya muda mfupi,(Wamepata Views 2M ndani ya wiki moja ) jambo ambalo halikuwahi kufanyika kabla.



20181005_202030.jpeg
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji2][emoji38][emoji38][emoji38][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38][emoji2][emoji23][emoji16][emoji3]
Ni watanzania. Acha bange! Kuna mmalawi wa kufanya mziki wa level hizo??
 
Ile verse ya Aika naona kiswahili kimetumika ipasavyo..
 
Nafikiri navy kenzo wewe labda ulkiua huwajui wale watu level zingine. Wametoboa kimataifa kitambo sio sababu ya wimbo wa katika
 
Ww Hance acha ushabiki maandazi Navykenzo ndo wakuibuliwa na Dimond??? Hebu usituchefue wote wakali wote wana uwezo. Nina wasiwasi na ww utakua umeanza kuujua mziki baada ya wcb kuundwa
 
IMG_8612.jpg

Yani ndio nausikiliza hapa

......akampakia na mgando.....
 
Msamehe buree.. Navy kenzo wa feel so good, game na kamatia chini ndo wamepelekwa international
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Walahii jf raha sanaaa
Ww Hance acha ushabiki maandazi Navykenzo ndo wakuibuliwa na Dimond??? Hebu usituchefue wote wakali wote wana uwezo. Nina wasiwasi na ww utakua umeanza kuujua mziki baada ya wcb kuundwa
 
Navy Kenzo hawana budi kumshukuru sana tena zaidi ya sana Diamond Platnumz kwa kuwapandisha kwa kiasi kikubwa kimuziki.

Tangu watoe wimbo wa KATIKA waliomshirikisha Diamond, Navy Kenzo wamefaidika kwa kiasi kikubwa kwa vitu vifiatavyo.

1)Idadi ya mashabiki na followers haswa Instagram tofauti na hapo awali.

2)Hadhi yao ya kimuziki imepanda maradufu.

3)Wameweza kujulikana zaidi kimataifa.

4)Kufikisha Viewers wengi ndani ya muda mfupi,(Wamepata Views 2M ndani ya wiki moja ) jambo ambalo halikuwahi kufanyika kabla.



View attachment 887784
Mi nausikitikia ule wimbo wa straika wa Coastal yani umeshapotea ndani ya masaa 12 tu!! sijui mchizi ndo kwa heri hivyo?
 
Back
Top Bottom