mkuu,huyu jamaa nilipoongea nae alinijulisha kuwa huwa yeye anatumia laini ya voda, akanua laini mpya ya tigo siku chache kabla ya tukio. hiyo laini akawa anaiweka ofisini kwake,mkewe haijui na hakutaka aijuena kaam huo mtego aliuweka bac mtoa thread aje atuambie na no ya cmu ilibadilishwa, vinginevyo hii kitu ni ngumu.
ubarikiwe sana mkuuHumu jamvini kumejaa watu wa ajabux2,hawana uvumbuzi kila kukicha kuleta ushi-gongo tuuu.Upuuuuuuuziiiiiiiiiiiiiiiii
Jamaa yangu ndio kwanza ameoa, yeye na mkewe wote wanafanya kazi benki, sio ofisi moja.
Katika pitapita zake kwenye internet, kakutana na blog ya facebook, kasachiiiiiiiii, hadi kikaeleweka kampata binti mmoja aliyemvutia kimeseji na kusikia ni wale watokao moja ya makabila ya Arusha, akazidi kuchanganyikiwa, maana kabila hilo wasichana wake huwa wanamuacha hoi daima, hata mkewe anatoka kabila hilohilo.
Sijui ni shetani, sijui ni kutoridhika na mkewe, sijui ni tamaa, au labda sijui ni ukware tu... ila kilichofuata ni kuwa akawa na mapenzi mazito na huyo dada. Yeye jamaa yangu hakutaja jina lake halisi.
Jana jioni waliamua wakutane saa 12 jioni kwenye bar fulani maeneo ya kinondoni. Kwa vile kila mtu ana simu ya mwenzake hivyo walikubaliana, wakifika sehemu hiyo watapigiana. Huyu jamaa ananiambia kuwa walielezana pia kuwa kila mtu atavaaje, huyo dada alisema angevaa gauni la blue na jamaa akasema atavaa shati jeupe mikono mirefu... nilishasema huyu jamaa ni benka hivyo hapo ni kuvua tai tu na kuingia bar.
Jamaa saa 12 kasorobo akatia timu bila kuchelewa, kabla hajafika eneo la tukio akapiga simu na akaelekezwa na bibie eneo alipokaa kwani yeye bibie keshafika saa nyingi anamngoja. Jamaa akaingia bar kwa mikogo yote huku akipepesa macho na udenda ukimtoka, kwa vyovyote ville mkono wa kulia ukiwa mfukoni mwa suruali.
Kulia alimwona mrembo mmoja amekaa kavalia gauni la bluu, looooh alipoangalia vizuri kumbe ni MKEWE WA NDOA NDIE WANATAZAMANA NAE USO KWA USO.
Anasikitika sana kwa yaliyomkuta, anasema sasa ndoa yake inalegalega, ANAMPENDA SANA MKEWE. ANAJUTIA FACEBOOK.
UNASEMAJE MWANA JF? AFANYEJE KUWEKA MAMBO SAWA?
tall hapo umenifuraisha mpk nimekiliki thanks, babu yangu aliniambia mtu akikutusi mwombee mema kwa MUUMBA na ndicho ulichokifanya hapoubarikiwe sana mkuu
mkuu,huyu jamaa nilipoongea nae alinijulisha kuwa huwa yeye anatumia laini ya voda, akanua laini mpya ya tigo siku chache kabla ya tukio. hiyo laini akawa anaiweka ofisini kwake,mkewe haijui na hakutaka aijue
mkuu wangu funza dume umeongea vizuri,nipe evidence wapi nilipoteleza,vinginevyo IT STANDS STILL.LABDA TATIZO INFORMATION ILIKUWA INCOMPLETE.........au aaaah,naanza KUELEWA kwa hiyo inamaa na inawezekana story nyingi za humu WANA jf wanatunga tunga tu?? nieleze mkuu maana wewe ni mwenyeji hapa JF kuliko mimi.Tall tuombe radhi wana jf najua ulitereza tu, ukubwa dawa
mkuu shishi,unaefanana na tomaso wa kwenye biblia(asieamini hadi aone)nimesema mkewe alitumia simu ya shoga yake baada ya kumshitukia mumewe kwenye mawasiliano ya internet....naona sasa akili yako mkuu inaanza kurudi je una la zaidi????? ha ha ha ha.Naye mkewe pia alikuwa na a secret line ambayo hakutaka mumuwew aiujue eh????? mbona ndoa ndoana kabisa...still the story does not add up!!!
N
Namba zao za simu je? Ina maana kila mmoja alikuwa anatumia line ya siri ambayo haiujulikani kwa mwenzake? Yaweza kuwa kweli ila logic hamna hapa. Stori za kutunga tuziacheni zitatupotezea mda, watu hapa wa rear stories za kusisimua sana lakini bado hawajaona haja ya kuzianika, wewe unatuletea za kutunga? No thank you!Jamaa yangu ndio kwanza ameoa, yeye na mkewe wote wanafanya kazi benki, sio ofisi moja.
Katika pitapita zake kwenye internet, kakutana na blog ya facebook, kasachiiiiiiiii, hadi kikaeleweka kampata binti mmoja aliyemvutia kimeseji na kusikia ni wale watokao moja ya makabila ya Arusha, akazidi kuchanganyikiwa, maana kabila hilo wasichana wake huwa wanamuacha hoi daima, hata mkewe anatoka kabila hilohilo.
Sijui ni shetani, sijui ni kutoridhika na mkewe, sijui ni tamaa, au labda sijui ni ukware tu... ila kilichofuata ni kuwa akawa na mapenzi mazito na huyo dada. Yeye jamaa yangu hakutaja jina lake halisi.
Jana jioni waliamua wakutane saa 12 jioni kwenye bar fulani maeneo ya kinondoni. Kwa vile kila mtu ana simu ya mwenzake hivyo walikubaliana, wakifika sehemu hiyo watapigiana. Huyu jamaa ananiambia kuwa walielezana pia kuwa kila mtu atavaaje, huyo dada alisema angevaa gauni la blue na jamaa akasema atavaa shati jeupe mikono mirefu... nilishasema huyu jamaa ni benka hivyo hapo ni kuvua tai tu na kuingia bar.
Jamaa saa 12 kasorobo akatia timu bila kuchelewa, kabla hajafika eneo la tukio akapiga simu na akaelekezwa na bibie eneo alipokaa kwani yeye bibie keshafika saa nyingi anamngoja. Jamaa akaingia bar kwa mikogo yote huku akipepesa macho na udenda ukimtoka, kwa vyovyote ville mkono wa kulia ukiwa mfukoni mwa suruali.
Kulia alimwona mrembo mmoja amekaa kavalia gauni la bluu, looooh alipoangalia vizuri kumbe ni MKEWE WA NDOA NDIE WANATAZAMANA NAE USO KWA USO.
Anasikitika sana kwa yaliyomkuta, anasema sasa ndoa yake inalegalega, ANAMPENDA SANA MKEWE. ANAJUTIA FACEBOOK.
UNASEMAJE MWANA JF? AFANYEJE KUWEKA MAMBO SAWA?
mie mwenyewe mgeni sema tu naongea sanamkuu wangu funza dume umeongea vizuri,nipe evidence wapi nilipoteleza,vinginevyo IT STANDS STILL.LABDA TATIZO INFORMATION ILIKUWA INCOMPLETE.........au aaaah,naanza KUELEWA kwa hiyo inamaa na inawezekana story nyingi za humu WANA jf wanatunga tunga tu?? nieleze mkuu maana wewe ni mwenyeji hapa JF kuliko mimi.
INAELEKEA BABU YAKO ALIKUWA NA BUSARA NA AKILI SANA,SASA WEWE MKUU UNAJIONAJE UMERITHI JAPO KIDOGO AKILI ZAKE? Kama bado yu hai kuwa nae beneti utavuna mengi toka kwake,sina shaka umeiga akili za babu yako na ndio maana ukatoa THANKS kwa mtu ambe dakika chache tu alikuudhi.tall hapo umenifuraisha mpk nimekiliki thanks, babu yangu aliniambia mtu akikutusi mwombee mema kwa MUUMBA na ndicho ulichokifanya hapo
basi mkuu tujitahidi tuchangie changie na huu mtandao wetu usife tulishauzoea,...... Na hasa mimi sijui kwa nini hadi leo sija contribute chochote.mie mwenyewe mgeni sema tu naongea sana
nimetokea mtandao mwingine ulikuwa maarufu baadae ukaanguka kama kipindi cha serebuka
ila mkuu uongo si kazi hiyo story umetunga
mkuu wangu funza dume umeongea vizuri,nipe evidence wapi nilipoteleza,vinginevyo IT STANDS STILL.LABDA TATIZO INFORMATION ILIKUWA INCOMPLETE.........au aaaah,naanza KUELEWA kwa hiyo inamaa na inawezekana story nyingi za humu WANA jf wanatunga tunga tu?? nieleze mkuu maana wewe ni mwenyeji hapa JF kuliko mimi.
SAWA MKUU NIMESHAJIBU KUWA JAMAA ALITUMIA NAMBA NYINGINE ISIYOJULIKANA KWA MKEWE NA MKEWE BAADA YA MAWASILIANO KWENYE MTANDAO KUMSITUA AKAONA ATUMIE NAMBA YA SHOGA YAKE ILIPOTOKEA SWALA LA KUPEANA NAMBA ZA SIMU ILI WAKUTANENamba zao za simu je? Ina maana kila mmoja alikuwa anatumia line ya siri ambayo haiujulikani kwa mwenzake? Yaweza kuwa kweli ila logic hamna hapa. Stori za kutunga tuziacheni zitatupotezea mda, watu hapa wa rear stories za kusisimua sana lakini bado hawajaona haja ya kuzianika, wewe unatuletea za kutunga? No thank you!
mke alitumia namba ya simu ya shoga yake hasa baada ya jamaa kudokeza kuwa yupo kwenye taasisi za pesa
SAWA MKUU NIMESHAJIBU KUWA JAMAA ALITUMIA NAMBA NYINGINE ISIYOJULIKANA KWA MKEWE NA MKEWE BAADA YA MAWASILIANO KWENYE MTANDAO KUMSITUA AKAONA ATUMIE NAMBA YA SHOGA YAKE ILIPOTOKEA SWALA LA KUPEANA NAMBA ZA SIMU ILI WAKUTANE
TOA HOJA kwa nini huamini?halafu mkuu unanihudhunisha sana mimi jamaa yangu leo anamawazo kibao na anasema hajui kama vitabu leo kule kazini kwake benki vita balance.....nilichomwambia ni kuwa visipo balance hiyo tofauti aiweke kwenye suspense account hadi jumatatu.
ASANTE SANA MWANZA....KUNIPA MOYO WAKATI HUU WA MAJONZI NA HUZUNI,HAWA AKINA TOMASO( Yule wa kwenye biblia ambae hakuamini yesu kafufuka hadi alipoona makovu ya yesu ndio akaamini) WAPO WENGI MIMI NINAO HAWA HADI WAAMINI..........NA NILISHAWASAMEHE WOTE.Kaka Tall asante sana kwa thread yako nzuri ingawa wadau wamekuandama lakini nadhani ulikuwa na nia njema tu kuwa watu tujifunze kutokana na mkasa huo.(bila kujali kama ulitokea kweli au la)
wewe umesimuliwa na hukusita kutumwagia hapa. kazi nzuri sana Tall. usikate tamaa.
Kaka Tall asante sana kwa thread yako nzuri ingawa wadau wamekuandama lakini nadhani ulikuwa na nia njema tu kuwa watu tujifunze kutokana na mkasa huo.(bila kujali kama ulitokea kweli au la)
wewe umesimuliwa na hukusita kutumwagia hapa. kazi nzuri sana Tall. usikate tamaa.