Makumbusho ya Banyambo inayoitwa Karagwe Heritage Museum yazinduliwa

Makumbusho ya Banyambo inayoitwa Karagwe Heritage Museum yazinduliwa

DodomaTZ

Member
Joined
May 20, 2022
Posts
84
Reaction score
118

Machi 22, 2024 Kutoka Mji mdogo wa Omurushaka katika Uzinduzi wa Makumbusho ya Banyambo inayoitwa KARAGWE HERITAGE MUSEUM, uzinduzi ulienda sambamba na uzinduzi wa Kitabu cha KARAGWE, HISTORIA, MILA NA DESTURI ambacho kimeandikwa na Mtaalam Bullet Ruhinda akishirikiana na Frontline Ruhinda pamoja na mzee John Bosco Mihigo.

Uzinduzi huo uliongozwa na Chief (Mtwa) Adam II Mkwawa toka himaya ya Iringa akiambatana na dada yake King’s Sister Fatma Mkwawa.

Pamoja nao alikuwepo Omukama wa Himaya ya Busubi (Biharamulo) ambaye pia ni baba yangu mdogo, Omukama Justin Kasusura pamoja na King Sister wa himaya ya Kyamutwara Mukeamanzi.
 

Machi 22, 2024 Kutoka Mji mdogo wa Omurushaka katika Uzinduzi wa Makumbusho ya Banyambo inayoitwa KARAGWE HERITAGE MUSEUM, uzinduzi ulienda sambamba na uzinduzi wa Kitabu cha KARAGWE, HISTORIA, MILA NA DESTURI ambacho kimeandikwa na Mtaalam Bullet Ruhinda akishirikiana na Frontline Ruhinda pamoja na mzee John Bosco Mihigo.

Uzinduzi huo uliongozwa na Chief (Mtwa) Adam II Mkwawa toka himaya ya Iringa akiambatana na dada yake King’s Sister Fatma Mkwawa.

Pamoja nao alikuwepo Omukama wa Himaya ya Busubi (Biharamulo) ambaye pia ni baba yangu mdogo, Omukama Justin Kasusura pamoja na King Sister wa himaya ya Kyamutwara Mukeamanzi.
Oyaa mbona mnapiga nyimbo za kinyarwanda hapo badala ya wenye shuhuli yao wanyambo? Au ndo utamaduni wa ng'ambo umetamaliki huko sikuhizi
 
Ukitaka upigane na wanyambo akina Bashungwa na akina Mutabazi waambie wao ni wahaya maana wanyambo ni wahaya , watapigana na wewe kwa mawe na risasi
 
Nyambizi! Wanyambo ni lower class Kwa wahaya. Mnyambo hujiita mhaya akiwa nje ya Kagera, lakini mhaya ukimuitaa mnyambo popote duniani atakukata makofi.

Vinyambo vingi havijasoma na vimeliwa na funza miguuni Hadi kwenye ubongo.

Vinyambo vijinga sana.
 
Ukitaka upigane na wanyambo akina Bashungwa na akina Mutabazi waambie wao ni wahaya maana wanyambo ni wahaya , watapigana na wewe kwa mawe na risasi
Kabila la wahaya linapatikana wilaya gani kijiji gani kata gani?hili jina Bashungwa ni la watu gani nini maana yake?hili jina mtabazi la watu gani nini maana yake?

Mkoa wa kagera kuna wasubi wanaishi Biharamulo

Kuna wanyayangiro waisha mleba kuna wahamba wanaishi mleba kusini

Kuna wayoza wanaishi bukoba mjini

Kuna waziba wanaishi bukoba vijijini

Wanyambo wanaishi wilaya ya Karagwe

Wilaya hii ya Karagwe kuna wayoza waziba waamba walio hamia kwa wengi kwa ajili ya furusa ya kilimo ndio

Maana kuna mchanganyiko wa hayo makabila lakini wanyambo walizidiwa na hawa wahamiaji mpaka lugha ya kinyambo sasa inapotea mpaka majina yao ya asili yanapotea

Mfano Bashungwa mtabazi kamgisha sio majina ya wanyambo

Hivyo hivyo hata wasubi sasa majina yao ya asili yanapotea mpaka lugha tabia sasa ukweli hakuna kabila la wahaya kama lipo basi nitajie liko sehemu gani ya mkoa wa kagera?
 
Nyambizi! Wanyambo ni lower class Kwa wahaya. Mnyambo hujiita mhaya akiwa nje ya Kagera, lakini mhaya ukimuitaa mnyambo popote duniani atakukata makofi.

Vinyambo vingi havijasoma na vimeliwa na funza miguuni Hadi kwenye ubongo.

Vinyambo vijinga sana.
Habari ya funza sio kwa wanyambo tu mfano wachanga baadhi ya makabila ya tanga mbinga songea funza siku za nyuma walishambulia mkoa mzima wa kagera hata waha mpaka burundi kuna funza lamuhimu hakuna kabila la wahaya mkoani kagera kama lipo kabila hilo nitajie lina patikana wilaya gani talafa kijiji kata nijue
 
Ukitoka Karagwe Maarufu Sana Kayanga Unatelemka Mtelemko Mkali Sana Na Kona Ndiyo Unafika Town Omurushaka Njia Panda Unakwenda Nkwenda Mpaka Kyerwa Kaisho Na Mulongo
Yes, ukinyoosha barabara unaenda mpk nyaishozi, ukikunja ndo unaenda chonyonyo lukole hadi nkwenda
 
Machi 22, 2024 Kutoka Mji mdogo wa Omurushaka katika Uzinduzi wa Makumbusho ya Banyambo inayoitwa KARAGWE HERITAGE MUSEUM, uzinduzi ulienda sambamba na uzinduzi wa Kitabu cha KARAGWE, HISTORIA, MILA NA DESTURI ambacho kimeandikwa na Mtaalam Bullet Ruhinda akishirikiana na Frontline Ruhinda pamoja na mzee John Bosco Mihigo.

Uzinduzi huo uliongozwa na Chief (Mtwa) Adam II Mkwawa toka himaya ya Iringa akiambatana na dada yake King’s Sister Fatma Mkwawa.

Pamoja nao alikuwepo Omukama wa Himaya ya Busubi (Biharamulo) ambaye pia ni baba yangu mdogo, Omukama Justin Kasusura pamoja na King Sister wa himaya ya Kyamutwara Mukeamanzi.
hawa ndo walitakiwa kua watawala sasa, sio wale vibaraka wa ngozi nyeupe , kazi kulilia misaada na kuipeleka matumboni tu
 
Nyambizi! Wanyambo ni lower class Kwa wahaya. Mnyambo hujiita mhaya akiwa nje ya Kagera, lakini mhaya ukimuitaa mnyambo popote duniani atakukata makofi.

Vinyambo vingi havijasoma na vimeliwa na funza miguuni Hadi kwenye ubongo.

Vinyambo vijinga sana.
Wewe umesoma ?
Umesoma mpaka wapi?

Jinga sana ...kifera-mangada

Wewe unajua Hata concept ya nuclear medicine ...
Unajua hata electromagnetic induction kama umesoma ...?
Kama umesoma umelisaidia nini taifa lako ...?
Wahed mkubwa
 
Wanyambo ni wahaya tu,na wewe bulet nyie sio mnyambo bali banyamulenge mliohamia karagwe toka karne ya 15,RIP Henry Ruhinda
 
Kabila la wahaya linapatikana wilaya gani kijiji gani kata gani?hili jina Bashungwa ni la watu gani nini maana yake?hili jina mtabazi la watu gani nini maana yake?

Mkoa wa kagera kuna wasubi wanaishi Biharamulo

Kuna wanyayangiro waisha mleba kuna wahamba wanaishi mleba kusini

Kuna wayoza wanaishi bukoba mjini

Kuna waziba wanaishi bukoba vijijini

Wanyambo wanaishi wilaya ya Karagwe

Wilaya hii ya Karagwe kuna wayoza waziba waamba walio hamia kwa wengi kwa ajili ya furusa ya kilimo ndio

Maana kuna mchanganyiko wa hayo makabila lakini wanyambo walizidiwa na hawa wahamiaji mpaka lugha ya kinyambo sasa inapotea mpaka majina yao ya asili yanapotea

Mfano Bashungwa mtabazi kamgisha sio majina ya wanyambo

Hivyo hivyo hata wasubi sasa majina yao ya asili yanapotea mpaka lugha tabia sasa ukweli hakuna kabila la wahaya kama lipo basi nitajie liko sehemu gani ya mkoa wa kagera?
Ta 25000q kwani hawa wayoza sijui walioko bukoba mjini sie watu kuja tunawaitaje ? Ni wahaya au wayoza ? Generally tunasema ni wahaya sasa naelewa kuwa wanyambo wapo huko kwenye wilaya ya Karagwe ila kwa lugha yao na matamshi yao yana utofauti koasi chake na hawa wa bukoba mjini ijapokuwa wanaweza kuelewana .
hoja yangu ni kuwa ninyi wanyambo sio wahaya ila hapo awali sikulijia hilo hivyo kila nilipojaribu kuwaita wahaya walinikatisha haijalishi tuko wapi kwa kusema wao sio wahaya ni wanyambo .
Ni hayo tu mkuu , wazima lakini hapo Nkwenda?
 
Kabila la wahaya linapatikana wilaya gani kijiji gani kata gani?hili jina Bashungwa ni la watu gani nini maana yake?hili jina mtabazi la watu gani nini maana yake?

Mkoa wa kagera kuna wasubi wanaishi Biharamulo

Kuna wanyayangiro waisha mleba kuna wahamba wanaishi mleba kusini

Kuna wayoza wanaishi bukoba mjini

Kuna waziba wanaishi bukoba vijijini

Wanyambo wanaishi wilaya ya Karagwe

Wilaya hii ya Karagwe kuna wayoza waziba waamba walio hamia kwa wengi kwa ajili ya furusa ya kilimo ndio

Maana kuna mchanganyiko wa hayo makabila lakini wanyambo walizidiwa na hawa wahamiaji mpaka lugha ya kinyambo sasa inapotea mpaka majina yao ya asili yanapotea

Mfano Bashungwa mtabazi kamgisha sio majina ya wanyambo

Hivyo hivyo hata wasubi sasa majina yao ya asili yanapotea mpaka lugha tabia sasa ukweli hakuna kabila la wahaya kama lipo basi nitajie liko sehemu gani ya mkoa wa kagera?
Acha ubishi wa kijinga. Ukionsa Ngara na Biharamulo maeneo yote yaliyobaki wote ni wahaya. Wanatifautiana tu vitu vichache ambavyo havitoshi kuyaita makabila. Mfano wanyambo kwenye lugha wanashea 70% ya msamiati na wahaya, 95% ya uundaji wa sentensi, n.k. Utamaduni ni ule ule kuanzia majina, vyakula, vinywaji, koo,n.k. sijui wanapataga wapi courage ya kutaka kujiita kabila
 
Acha ubishi wa kijinga. Ukionsa Ngara na Biharamulo maeneo yote yaliyobaki wote ni wahaya. Wanatifautiana tu vitu vichache ambavyo havitoshi kuyaita makabila. Mfano wanyambo kwenye lugha wanashea 70% ya msamiati na wahaya, 95% ya uundaji wa sentensi, n.k. Utamaduni ni ule ule kuanzia majina, vyakula, vinywaji, koo,n.k. sijui wanapataga wapi courage ya kutaka kujiita kabila
Mbona wanyankole wa uganda nao hufanana na wahaya kwa asilimia zaidi ya hizo ya lugha zao na ni kabila linajitegemea huko ug?
 
Nyambizi! Wanyambo ni lower class Kwa wahaya. Mnyambo hujiita mhaya akiwa nje ya Kagera, lakini mhaya ukimuitaa mnyambo popote duniani atakukata makofi.

Vinyambo vingi havijasoma na vimeliwa na funza miguuni Hadi kwenye ubongo.

Vinyambo vijinga sana.
Kuna kamoja kapo hapo Baobab ni kasenge balaa
 
Naona anaendelea kujikita Kwa ma chief coz kwenye Dini Kuna ukakasi sio!!?

Yaani mfumo dume kwenye Dini unamuogopesha mtia Nia sio!!?

Bas sawa!
 
Back
Top Bottom