senior citizen
Member
- Oct 12, 2011
- 50
- 11
Wadau naandika taarifa hii kwa masikitiko makubwa ya taaluma za kitanzania zinavypotea chuo kikuu makumira kitivo cha sheria kimechakachuliwa na VC Prof Parsalaw kwa kutoa ajila za upendeleo hususani kwa wamasai wenzake akiwepo Dean of Faculty of Law Laltaika ambaye hana sifa za kuwa Dean pia kwa mtoto wake VC Ben Parsalaw amemaliza first degree 2011 saivi ni lecturer tena anafundisha mpaka mwaka wa 3 ukiuliza kwakuwa baba ni ni VC.. TCU mko wapi?
Jamani naomba nirekebishe hapo mwanaye anasoma masters ya law sio lecturer.Wadau naandika taarifa hii kwa masikitiko makubwa ya taaluma za kitanzania zinavypotea chuo kikuu makumira kitivo cha sheria kimechakachuliwa na VC Prof Parsalaw kwa kutoa ajila za upendeleo hususani kwa wamasai wenzake akiwepo Dean of Faculty of Law Laltaika ambaye hana sifa za kuwa Dean pia kwa mtoto wake VC Ben Parsalaw amemaliza first degree 2011 saivi ni lecturer tena anafundisha mpaka mwaka wa 3 ukiuliza kwakuwa baba ni ni VC.. TCU mko wapi?