Makundi ya mkuu wa mkoa au wilaya kujikita katika kupambana na ukahaba.

Makundi ya mkuu wa mkoa au wilaya kujikita katika kupambana na ukahaba.

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kama mkuu wa mkoa au wilaya anataka kuwakamata makahaba na kuweza kuwapeleka mahakamani haya makundi inaweza kuwa rahisi zaidi kwake na akaeleweka angalau kidogo.

1. Makahaba waliopewa na kutoa kazi baada ya ngono. Ukahaba wa aina hii ni rahisi zaidi kwa sababu anaweza kupata uthbitisho wa meseji, voice calls na hata ukiukwaji wa taratibu za ajira kumpendelea mtoa uchi ili apate ajira.

2. Makahaba wanaotembea na waume au wake za watu. Hapa mfano mahakamani anaweza kupata mke kuthibitisha kwamba kweli aliyekamatwa ni kahaba na amemgeuza mume wake kuwa danga lake ambalo anaishi kupitia mapato yake na mali zake.

3. Maofisini ambapo boss anaonyesha upendeleo wa wazi kwa mtu fulani wa jinsia tofauti ambaye ni kilaza wa kutupwa lakini anayafaidi mema yote ya ofisi, hapa mkuu wa wilaya akiweka mitego anaweza kubaini mchezo mchafu.

4. Kwenye vyuo vikuu, huku malalamiko yamekuwa ya muda mrefu sana na hadi kuna ripoti nyingi tu.
 
Haya ni invisible makahaba, wanaokamatwa ni hawa visible walioko kwenye vijiwe vyao
 
  • Thanks
Reactions: I M
Wao wenyewe wanunuzi wanaangukia kwenye hayo makundi jeuri ya kuwakamata wanaitoa wapi?
 
Wawauwe mmoja baada ya mwingine. Kila wiki wawili chapu madanguro yanapukutika
 
Haya ni invisible makahaba, wanaokamatwa ni hawa visible walioko kwenye vijiwe vyao
Una uthibitisho gani kuwa kwa kuwa umemkamata mtu kwenye kijiwe basi ni kahaba??,na sheria ipi hapa Tanzania unaweza itumia kumshitaki kahaba??
 
Una uthibitisho gani kuwa kwa kuwa umemkamata mtu kwenye kijiwe basi ni kahaba??,na sheria ipi hapa Tanzania unaweza itumia kumshitaki kahaba??
Unapendekeza sheria ya ukahaba au watu waendelee kununua malaya?
 
Una uthibitisho gani kuwa kwa kuwa umemkamata mtu kwenye kijiwe basi ni kahaba??,na sheria ipi hapa Tanzania unaweza itumia kumshitaki kahaba??
mwendo wa kahaba unaonekana, kahaba hafichi haiba yake hata akivaa mavazi ya heshima. Unaambiwa hao makahabu waliokamatwa walikutwa wamevaa nusu uchi wanajiuza. Ukipita vijiweni mwao polisi wanakusomba wakidhani ni muhusika. Watu wengine ikifika usiku hubadili njia kukwepa vijiwe vya makahaba hayo wasije wakajumuishwa katika kamatakamata ya makahaba hayo
 
Kama mkuu wa mkoa au wilaya anataka kuwakamata makahaba na kuweza kuwapeleka mahakamani haya makundi inaweza kuwa rahisi zaidi kwake na akaeleweka angalau kidogo.

1. Makahaba waliopewa na kutoa kazi baada ya ngono. Ukahaba wa aina hii ni rahisi zaidi kwa sababu anaweza kupata uthbitisho wa meseji, voice calls na hata ukiukwaji wa taratibu za ajira kumpendelea mtoa uchi ili apate ajira.

2. Makahaba wanaotembea na waume au wake za watu. Hapa mfano mahakamani anaweza kupata mke kuthibitisha kwamba kweli aliyekamatwa ni kahaba na amemgeuza mume wake kuwa danga lake ambalo anaishi kupitia mapato yake na mali zake.

3. Maofisini ambapo boss anaonyesha upendeleo wa wazi kwa mtu fulani wa jinsia tofauti ambaye ni kilaza wa kutupwa lakini anayafaidi mema yote ya ofisi, hapa mkuu wa wilaya akiweka mitego anaweza kubaini mchezo mchafu.

4. Kwenye vyuo vikuu, huku malalamiko yamekuwa ya muda mrefu sana na hadi kuna ripoti nyingi tu.
Just waingie kwenye wings za CCM, kuna makahaba wa kutosha kule tena wengine wana mashine kabisa za kusaga na kukoboa mahindi, wengine michicha pori na wengine ni mipspai kabisa na wanafugwa na haohao viongozi.
Ndiyo maana mzee wa watu Mwakyembe kila akijitahidi kupiga vita na kuwafichua mashoga na wasagaji anaishia kusikika kwenye video clips wanazosambazisna watu but hapewi air time yoyote na popote pale, sababu wenye matendo yao na promoters ndiyo wanao stars the ling kwa sasa
 
Wanasheria wanasema kuna loopholes nyingi kuchomoka hizo kesi za ukahaba kwa kukamatwa barabarani.

Hata hizo sms ni siri ya mtu, sasa utamahurutisha nani akuoneshe sms zake, mnunuzi au muuza??
 
mwendo wa kahaba unaonekana, kahaba hafichi haiba yake hata akivaa mavazi ya heshima. Unaambiwa hao makahabu waliokamatwa walikutwa wamevaa nusu uchi wanajiuza. Ukipita vijiweni mwao polisi wanakusomba wakidhani ni muhusika. Watu wengine ikifika usiku hubadili njia kukwepa vijiwe vya makahaba hayo wasije wakajumuishwa katika kamatakamata ya makahaba hayo
Wewe ndiye ungekuwa prosecutor haya ndio ungemwambia jaji mahakamani ili hao watu wahukumiwe na wafungwe?

Mfano upande wa utetezi wakisema hata wewe mshitaki au shahidi mwendo wako na haiba yako ni vya kikahaba utapingaje?
 
Wanasheria wanasema kuna loopholes nyingi kuchomoka hizo kesi za ukahaba kwa kukamatwa barabarani.

Hata hizo sms ni siri ya mtu, sasa utamahurutisha nani akuoneshe sms zake, mnunuzi au muuza??
Makampuni ya simu yanaweza kuwapa polisi hizo meseji na voice calls
 
Wewe ndiye ungekuwa prosecutor haya ndio ungemwambia jaji mahakamani ili hao watu wahukumiwe na wafungwe?
swala kumshitaki kahaba mahamanii ni la kisheria, unaweza kuta kuwa kuna wanaofanana nyendo na mavazi kama makahaba lakini wao si makahaba. Mahakama ina tafsiri nyingi kumtia mtu hatiani kama ukahaba ni kosa
 
Back
Top Bottom