Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Mnaofanya biashara za mabucha, samaki wabichi, vinyozi, maziwa, juice fresh, usagishaji wa nafaka na uchomeleaji mnawezaje katika mazingira haya?
Marejesho yenu ya mikopo katika mabenki, SACCOS na VICOBA yanawazekanikaje?
Vipi kuhusu kodi za mapango ya nyumba mnakofanyia biashara zenu?
Marejesho yenu ya mikopo katika mabenki, SACCOS na VICOBA yanawazekanikaje?
Vipi kuhusu kodi za mapango ya nyumba mnakofanyia biashara zenu?