Makusanyo ya kodi katika robo tatu ya mwaka 2023/24

Makusanyo ya kodi katika robo tatu ya mwaka 2023/24

TRA Tanzania

Senior Member
Joined
Jul 16, 2022
Posts
128
Reaction score
370
MAKUSANYO MARCH 2024.jpg
MAKUSANYO  2 MARCH 2024.jpg
 
Mambo ya kaisari lini hizi kodi zetu tutazitumia hata kufanya sherehe watanzania wote tule kuku tunywe tusherekee kila siku zinaenda kushoto nyie kina yuda mtuhurumie.
 
Samahani lakini, hivi mamlaka ina uwezo wa kuchukua hatua pale makusanyo yanapo tumika vibaya?
 
Samahani lakini, hivi mamlaka ina uwezo wa kuchukua hatua pale makusanyo yanapo tumika vibaya?
Mkuu upo nchi gani kwanza au dunia ipi? ni kweli kazi ya bunge huijui au unataka waletea lawama hawa jamaa au wachonganisha na wananchi? Bunge ndilo lenye kusimamia matumizi ya fedha hizi na hawa watoza kodi wao wamepewa jukumu la kukusanya hawana nguvu hiyo kisheria . Ulikimbia umande nini ?
 
Back
Top Bottom