Makusanyo ya nchi ni trilioni 1.2 kwa mwezi, mishahara tu bilioni 600,Baki bilioni 600,stiglers,SGR trilioni 30, bila kukopa ni ngumu kumaliza miradi!

Makusanyo ya nchi ni trilioni 1.2 kwa mwezi, mishahara tu bilioni 600,Baki bilioni 600,stiglers,SGR trilioni 30, bila kukopa ni ngumu kumaliza miradi!

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Wale wanaosema tusikope, waje mezani na hesabu, nchi inakusanya Kila mwezi trilioni 1.2. Mishahara inakula bilioni 600, inabaki bilioni 600, hii ilipie umeme, maji, karatasi, mafuta ya magari,posho na mengineyo, inabaki ngapi?

Haya, kama SGR inaweza kula trilioni karibu 20, maana yake serikali iache kufanya chochote kile, isilipe Mishahara,isinunue dawa, magari yake yapaki bila kutembea, lakini kwa kusanyo la 1.2 trilioni, trilioni 20 itachukua si pungufu ya miaka 15 kulipia reli ya SGR.

Twende kwa mradi wa tembo mweupe, Stiglers .. hata ikimeza trilioni kumi, itatuchukua miaka nane kwa kutumia kusanyo la ndani, kulipia mradi huu, hapa tunaacha kufanya Kila kitu, hatujengi barabara,vituo vya afya Wala mashule.

Tukumbuke, vifaa vya ujenzi vitaendelea kupanda, hivyo bili ya ujenzi pia itapanda!

Mama kopa tumalize fasta .. tutajua jinsi ya kulipa
 
Wale wanaosema tusikope, waje mezani na hesabu, nchi inakusanya Kila mwezi trilioni 1.2. Mishahara inakula bilioni 600, inabaki bilioni 600, hii ilipie umeme, maji, karatasi, mafuta ya magari,posho na mengineyo, inabaki ngapi?

Haya, kama SGR inaweza kula trilioni karibu 20, maana yake serikali iache kufanya chochote kile, isilipe Mishahara,isinunue dawa, magari yake yapaki bila kutembea, lakini kwa kusanyo la 1.2 trilioni, trilioni 20 itachukua si pungufu ya miaka 15 kulipia reli ya SGR.

Twende kwa mradi wa tembo mweupe, Stiglers .. hata ikimeza trilioni kumi, itatuchukua miaka nane kwa kutumia kusanyo la ndani, kulipia mradi huu, hapa tunaacha kufanya Kila kitu, hatujengi barabara,vituo vya afya Wala mashule.

Tukumbuke, vifaa vya ujenzi vitaendelea kupanda, hivyo bili ya ujenzi pia itapanda!

Mama kopa tumalize fasta .. tutajua jinsi ya kulipa
Sawa Chawa...umeeleweka.
Ondoeni tozo basi!
 
Watu wanahoji kama tumekopa kujenga madarasa hela ya tozo imeenda wapi?
Madarasa yanatosha? Bado hayatoshi, tozo itaendelea kujenga madarasa, bado Kuna maabara, mabweni, vifaa vya maabara,miundombinu ni zaidi ya madarasa
 
Magufuli Jembe.

Hivi kwa akili zenu issue ni kukop?

Kukopa sio shida kabisa

Changamoto ipo kwenye uwezo wako wa kulipa. Hiko ndio kitu kinachowapa imani wakopeshaji.

Magufuli alikuwa anakopesheka; don’t take that lightly . Ili ukopesheke inahitaji imani ya mkopeshaji unaweza lipa; especially short term loans.

Kumfananisha Samia na Magufuli ni upuuzi wa hali wa juu.

Let’s look on Samia’S achievements tumsifie huko; lakini awezi mzidi Magufuli; lol I don’t want to be “Maxwell devil” Ila ndio uhalisia.

Mama Samia anaweza fanya mengi makubwa mbeleni; but so far hafikii hata robo ya Magufuli.

Nyie tusicheze Magufuli alikuwa Jembe.
 
Sawa Chawa...umeeleweka.
Ondoeni tozo basi!
Tumeongeza nguvu tu kwa kukopa, lakini ujenzi wa madarasa ni endelevu, Kila siku mnazaa, hivyo, Kila siku tutajenga, na Kila siku tozo itasaidia ujenzi
 
Magufuli Jembe.

Hivi kwa akili zenu issue ni kukop?

Kukopa sio shida kabisa

Changamoto ipo kwenye uwezo wako wa kulipa. Hiko ndio kitu kinachowapa imani wakopeshaji.

Magufuli alikuwa anakopesheka
Huyo aliyekopa trilioni 30 kwa Siri, akazitumia kwa Siri, tena anakopa kwa riba za kibiashara? Hovyo kabisa, halafu linadanganya eti fedha za ndani, takataka kabisa
 
Wale wanaosema tusikope, waje mezani na hesabu, nchi inakusanya Kila mwezi trilioni 1.2. Mishahara inakula bilioni 600, inabaki bilioni 600, hii ilipie umeme, maji, karatasi, mafuta ya magari,posho na mengineyo, inabaki ngapi?

Haya, kama SGR inaweza kula trilioni karibu 20, maana yake serikali iache kufanya chochote kile, isilipe Mishahara,isinunue dawa, magari yake yapaki bila kutembea, lakini kwa kusanyo la 1.2 trilioni, trilioni 20 itachukua si pungufu ya miaka 15 kulipia reli ya SGR.

Twende kwa mradi wa tembo mweupe, Stiglers .. hata ikimeza trilioni kumi, itatuchukua miaka nane kwa kutumia kusanyo la ndani, kulipia mradi huu, hapa tunaacha kufanya Kila kitu, hatujengi barabara,vituo vya afya Wala mashule.

Tukumbuke, vifaa vya ujenzi vitaendelea kupanda, hivyo bili ya ujenzi pia itapanda!

Mama kopa tumalize fasta .. tutajua jinsi ya kulipa
Hata mngekusanya 2 tril bado miradi mikubwa haiwezi kuendelea bila mikopo
 
Wale wanaosema tusikope, waje mezani na hesabu, nchi inakusanya Kila mwezi trilioni 1.2. Mishahara inakula bilioni 600, inabaki bilioni 600, hii ilipie umeme, maji, karatasi, mafuta ya magari,posho na mengineyo, inabaki ngapi?

Haya, kama SGR inaweza kula trilioni karibu 20, maana yake serikali iache kufanya chochote kile, isilipe Mishahara,isinunue dawa, magari yake yapaki bila kutembea, lakini kwa kusanyo la 1.2 trilioni, trilioni 20 itachukua si pungufu ya miaka 15 kulipia reli ya SGR.

Twende kwa mradi wa tembo mweupe, Stiglers .. hata ikimeza trilioni kumi, itatuchukua miaka nane kwa kutumia kusanyo la ndani, kulipia mradi huu, hapa tunaacha kufanya Kila kitu, hatujengi barabara,vituo vya afya Wala mashule.

Tukumbuke, vifaa vya ujenzi vitaendelea kupanda, hivyo bili ya ujenzi pia itapanda!

Mama kopa tumalize fasta .. tutajua jinsi ya kulipa
Para ya pili umekosea mahesabu, ulitaka kusema kwamba endapo tusifanye chochote ili 1.2tr ilipe deni la 20tr itachukua miaka 15? Makusanyo hayo ni ya kila mwezi which means kama ukiacha kila kitu ( jambo ambalo pia kiuhalisia haliwezekani) ina maana ingechukua kama mwaka mwaka mmoja na miezi mitano hivi (miezi 17) kulipa deni na siyo miaka 15. Be precise Mkuu.
 
Huyo aliyekopa trilioni 30 kwa Siri, akazitumia kwa Siri, tena anakopa kwa riba za kibiashara? Hovyo kabisa, halafu linadanganya eti fedha za ndani, takataka kabisa
Mjinga mmoja wewe... ni Magufuli pekee ambaye hata kipofu aliona mambo aliyoyafanya kwa fedha alizokopa... sasa twambie wewe ni mrundi au mcongo... hueleweki... maana kusoma hujui hata picha huoni...?
 
Huyo aliyekopa trilioni 30 kwa Siri, akazitumia kwa Siri, tena anakopa kwa riba za kibiashara? Hovyo kabisa, halafu linadanganya eti fedha za ndani, takataka kabisa
How stupid are you?

Hivi umesoma sakata la Mozambique na fines watu walizopewa taasisi zilizoikopesha nchi maskini by bypassing donors supervisions.

Meanwhile Magufuli alikuwa anakopa mbele ya mama Bella wa IMF.

Ni ngumu sana kuwaelezea vilaza ni kwa namna Magufuli alivyokuwa Jembe.
 
Para ya pili umekosea mahesabu, ulitaka kusema kwamba endapo tusifanye chochote ili 1.2tr ilipe deni la 20tr itachukua miaka 15? Makusanyo hayo ni ya kila mwezi which means kama ukiacha kila kitu ( jambo ambalo pia kiuhalisia haliwezekani) ina maana ingechukua kama mwaka mwaka mmoja na miezi mitano hivi (miezi 17) kulipa deni na siyo miaka 15. Be precise Mkuu.
Wanatafuta ugali wa watoto wao hadi huruma... huyu mpotoshaji atakua anaishi kwa shemeji yake...
 
Serikali imekusanya bil48 kupitia tozo, je zinatosha kujenga madarasa mangapi?.ili tujue pakuanzia maana hesabu ya madarasa yaliyojengwa kwa kutumia til1.3 ya mkopo, yanajulikama na kila mtanzania.
 
How stupid are you?

Hivi umesoma sakata la Mozambique na fines watu walizopewa taasisi zilizoikopesha nchi maskini by bypassing donors supervisions.

Meanwhile Magufuli alikuwa anakopa mbele ya mama Bella wa IMF.

Ni ngumu sana kuwaelezea vilaza ni kwa namna Magufuli alivyokuwa Jembe.
Umeandika ujinga
 
Lakini Samia hajakopa kujenga SGR au Bwawa la Umeme bali amekopa kujenga Madarasa na Madawati pamoja na kuwekeza Pemba!
 
Back
Top Bottom