Za leo! Za saa hizi,!
Jamani mwenzenu hata sielewi tunakoelelea, hivi kama kweli Tanzania kuna mgodi (sijui ndio mgodi au nimekosea) wa gesi asili (sijui nimepatia?) inakuwaje tunakosa umeme?
Au kama kweli Tanzania ina mazingira yanayofaa kutengenza umeme wa upepo jamani inakuwaje kweli tunakosa umeme!
Nimelazimika kuuza asikirimu na mabarafu baada ya kukosa ajira sasa umeme ndio huo nauona kwa kuhesabiwa masaa yaani unakatika saa 3 asubuhi unarudu saa 12 jioni kwa dakika kama 45 kisha unakatika mpka saa tano au sita usk huu si utani.
Uvumilivu unazidi kupungua karibu ntaandama mwenyewe kuelelea ikulu nikapate majibu.
Jamani mwenzenu hata sielewi tunakoelelea, hivi kama kweli Tanzania kuna mgodi (sijui ndio mgodi au nimekosea) wa gesi asili (sijui nimepatia?) inakuwaje tunakosa umeme?
Au kama kweli Tanzania ina mazingira yanayofaa kutengenza umeme wa upepo jamani inakuwaje kweli tunakosa umeme!
Nimelazimika kuuza asikirimu na mabarafu baada ya kukosa ajira sasa umeme ndio huo nauona kwa kuhesabiwa masaa yaani unakatika saa 3 asubuhi unarudu saa 12 jioni kwa dakika kama 45 kisha unakatika mpka saa tano au sita usk huu si utani.
Uvumilivu unazidi kupungua karibu ntaandama mwenyewe kuelelea ikulu nikapate majibu.