bongo raha
Member
- May 29, 2019
- 18
- 8
Habar Wana jf
Binafsi mm mwenyewe Nina furaha sana kuona Kenya na tz wanachangia maada bila kupondana kwan ilikuwa mbaya sana kipindi cha nyuma watu kuombea mabaya ili waanze kupondana hii Aman imeletwa baada ya maraisi Hawa wawili kukutana chato kiukweli hii ndio Eac ya kuombea heri na mafanikio
Binafsi mm mwenyewe Nina furaha sana kuona Kenya na tz wanachangia maada bila kupondana kwan ilikuwa mbaya sana kipindi cha nyuma watu kuombea mabaya ili waanze kupondana hii Aman imeletwa baada ya maraisi Hawa wawili kukutana chato kiukweli hii ndio Eac ya kuombea heri na mafanikio