Makutano ya rais wa Kenya na tz yameleta amani jamii forum

bongo raha

Member
Joined
May 29, 2019
Posts
18
Reaction score
8
Habar Wana jf

Binafsi mm mwenyewe Nina furaha sana kuona Kenya na tz wanachangia maada bila kupondana kwan ilikuwa mbaya sana kipindi cha nyuma watu kuombea mabaya ili waanze kupondana hii Aman imeletwa baada ya maraisi Hawa wawili kukutana chato kiukweli hii ndio Eac ya kuombea heri na mafanikio
 
Hehehehe!! Wacha kuchukulia kibinafsi mambo ya humu, fahamu hii ni jukwaa ambayo kila mtu huwa ruksa kusema yake, na lazima uwe tayari kukubali kutokubaliana ilmradi humtusi mtu. Huwa naona hata kwenye majukwaa yenu Watanzania ya siasa mnavyopelekena huko utadhani mtu atanyofolewa macho. Ndio uhuru wa maoni na kama marais wetu hawawezi kuvumilia huu uhuru basi watakua kwenye uongozi kwa bahati mbaya.

Waache watu waseme, ichukulie tu kama kijiweni ambapo watu hukusanyika baada ya mishe za siku tangia alfajiri.
 
Uhuru is really great at conflict resolution...His advisers are very smart...I have grown to really admire his diplomacy skills...I was shocked when he pulled the “handshake” move...Who would have thought those two could co exist? Yet, here we are, peace and calm...

His coming to Tz shows maturity....
 
Usipokunywa chang'aa unaongea maneno mazuri sana
 
Utulivu huu ni wa muda tu, soon league inaendelea...
 
Uhuru alinifurahisha sana alipo tamka Chatu badala ya Chato, maana hilo ndilo neno pekee nililo lisikia kwa umakini kwenye hotuba yake....[emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…