Malagarasi Hydropower Project - Loan Approved

Mbona mnatuyumbisha, mara JNHPP itaweza kuzalisha MW 2100+ pamoja na za sasa Mw 1000+, kuna haja gani ya kukopa kwa ajili ya malagarasi HEP?
 
Wanasaccos hawapendi kusikia habari kama hizi wao wako kule kwa EU na beberu Amsterdam
 
JPM, we mola mbariki rais wetu,miradi kama hii CHADEMA lazima wapinge,
 
Hamjielewi kabisa. Mbona hilo hiwa hamsemi mnajiita matajiri tu?
Ukiwa tajiri unakopesheka, leo Mlevi wa Konyagi analia tu khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Safi sana Mzalendo wa kiafrica Rais wa AfDB bwana Adesina Akinwumi, tunataka kuachana na mikopo ya mabeberu. AfDB ni ya waafrika na itajenga Afrika
Hivi unajua kama USA ana mchango mkubwa sana AfDB.

Huo mkopo kwa asilimia kubwa tunamlipa USA.

Ufala ni tatizo kwa watanzania wengi. AfDB ni shina la Mabeberu. Mnakamatwa kis*nge sana. Sababu ya umbumbumbu wenu mnakua hamuelewi.
 
Wewe umewaona India tu, angalia wana reserve kiasi gani ya US$ wacha kukurupuka. India wapo vizuri na tumekopa kwao kwa asilimia nzuri tu.
 
Tutauza kwa "COST + mark up" au "below cost" kama tunavyowauzia Zanzibar?
Zanzibar ipo Tanzania, pengine hukumbuki JPM alipoingia madarakani alifuta madeni yote ya Zanzibar ya umeme nk,
 
Huu mradi ni muhimu sana kwa mkoa wa kigoma uungwe mkono na wapenda maendeleo wote
 
What the hell are you talking about?

Kweli ujinga ni mzigo, tunajenga mradi wa SG ambao utaisha 2022 wa 2115mg, huo mkopo wa kamradi kengine wa nini? Huu utapeli utakaa wazi tu hivi punde.
 
Lisu mpaka aombe poo.kibaraka asieitakia mema nchi yetu.na mipango yake ya nje na ndani kila siku inadidimia.

I
Imeisha hiyo wale wabelgiji waje kupinga.Go our presidaa JPM nchi inakimbia sasa kwa kasi
Mwacheni astarehe na beberu lake Amsterdam.
Kukopa sio dhambi, hakuna taifa duniani ambalo halikopi.
Hongera awamu ya tano kufanikisha mchakato huo muhimu.
Tundu "Quinsling" Lisu leo atalia usiku mzima baada ya kusoma hii taarifa, ha ha ha.
Makamanda njooni tupinge japo mbeba maono wetu kaingia mitini
#Niyeye [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ingekuwa mimi ni nyinyi nisingethubutu kabisa kuchangia huu uzi, na kusifia hii project maana ni matumizi mabaya ya ubongo. Kuna mradi wa SG unaisha 2022 na utazalisha 2115mg, huo mkopo wa kamradi kengine wa nini! Stukeni mnaingizwa mjini mpaka mnaoneka wapuuzi tu. Endeleeni kusifia kila kitu bila kutumia vizuri akili zenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…