wahudumu sifuri,hawana customer care,wapo wapo tu,sijui ni tempo?mayb wataajiri wataalam zaidi
ila wana vyumba maridadi sana sana sana
Yawezekana mwekezaji akawa na washauri wazuri kwenye hard wear, wasiwe wazuri kwenye soft wear(customer care)
Mambo ya Lavena Beach Mwanza
Kwa hiyo hao kwenye picha ndio nyinyi?
wahudumu sifuri,hawana customer care,wapo wapo tu,sijui ni tempo?mayb wataajiri wataalam zaidi
ila wana vyumba maridadi sana sana sana
Mkuu una macho sana yeah ni sisi!