Malaika watakavyokuja

bahati93

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2015
Posts
1,334
Reaction score
2,463
Malaika, viumbe wa mbinguni wanahitaji kufanya maboresho ya haraka sana ili kuweza kuwakabili waovu wa hii dunia pale watakapokuja na bwana. Malaika wamekuwa wakitumia Mapanga kama silaha yao kuu, lakini tangia waondoke zamani hizo mwanadamu kwa kutumia werevu wake katengeneza silaha kali sana.

Silaha mpya zinazotengenezwa zinafanya silaha za malaika kupitwa na wakati. Ukilinganisha Panga na Bunduki utagundua Bunduki ni mahiri sana mwenye Panga hawezi kufua dafu.

Mi nishawapa mbinu, nategemea mtakapokuja mtaniacha Salama niende kurithi Mliman City.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…