Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,558
- 1,456
TIGO sasa naona wamelewa sifa na sasa wanatufanya wateja wao kuwa ni Mazuzu tusiojua Taratibu na Sheria za Nchi, "TUTAWASHITAKI". Siku hizi ukimpigia Mtu wa Tigo kama Hapatikani wanakwambia Bonyeza 0 kuacha Ujumbe wa Maneno lakini hata kama Usipobonyeza 0 kukubali jamaa wanakupeleka moja kwa moja kwenye Voice Message na UNAKATWA PESA! Tigo Mmetuchuka wateja wenu kiasi hiki? Hakya Mungu Mkiendelea hivyo nawageuza "DILI" Nitawashitaki TCRA na ninauhakika Nitakula Hela Nzuri tu ya FIDIA
Nawapa Siku Saba Mrekebishe hiyo hali kwamba kama Mtu hajachagua namba ya kukubali kuacha Ujumbe wa Maneno Msimlazimishe, Msiporekebisha tutakuna CCC
Habari ndiyo hiyo
Nawapa Siku Saba Mrekebishe hiyo hali kwamba kama Mtu hajachagua namba ya kukubali kuacha Ujumbe wa Maneno Msimlazimishe, Msiporekebisha tutakuna CCC
Habari ndiyo hiyo