Malalamiko ya Wakili Nkuba yanaonyesha aliitegemea sana kauli ya Nape kwamba Ushindi unategemea pia mtangaza Matokeo

Malalamiko ya Wakili Nkuba yanaonyesha aliitegemea sana kauli ya Nape kwamba Ushindi unategemea pia mtangaza Matokeo

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Moja ya sababu kubwa anayolalamikia Wakili msomi Nkuba ni Taarifa za Matokeo kuanza kutolewa kabla Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi Hajatangaza.

Nkuba anaamini kabisa matokeo halali ni yale majumuisho yanayotangazwa na msimamizi wa Uchaguzi.

Namkumbusha tu Nkuba hii ni Dunia ya Sayansi na Teknolojia Ndio sababu hata Maalim Seif mwaka ule 2015 aliweza kuhesabu kura zake zote kabla Jecha hajachafua hali ya hewa.

Lakini Wakili Msomi Nkuba amewafumbua macho CHADEMA namna wanavyoweza kulinda Kura zao ni kutumia mitandao ya Kijamii ipasavyo.

Mwisho nakubaliana na Tundu Antipas Lisu kwamba Mawakili wa Kenya wako mbele ya Mawakili wa Tanzania kwa hatua 100.

Sabato Njema 😄😄😄
Soma pia: Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura 1274
 
Moja ya sababu kubwa anayolalamikia Wakili msomi Nkuba ni Taarifa za Matokeo kuanza kutolewa kabla Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi Hajatangaza

Nkuba anaamini kabisa Matokeo Halali ni yale Majumuisho yanayotangazwa na Msimamizi wa Uchaguzi

Namkumbusha tu Nkuba hii ni Dunia ya Sayansi na Teknolojia Ndio sababu hata Maalim Seif mwaka ule 2015 aliweza kuhesabu kura zake zote kabla Jecha hajachafua hali ya hewa

Lakini Wakili Msomi Nkuba amewatumbua macho Chadema namna wanavyoweza kulinda Kura zao ni kutumia mitandao ya Kijamii ipasavyo

Mwisho nakubaliana na Tundu Antipas Lisu kwamba Mawakili wa Tanzania wako mbele ya Mawakili wa Tanzania kwa hatua 10,000,000

Sabato Njema 😄😄😄
Aende akamlilie bumunda Nape kwa kumuingiza chaka
 
Moja ya sababu kubwa anayolalamikia Wakili msomi Nkuba ni Taarifa za Matokeo kuanza kutolewa kabla Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi Hajatangaza.

Nkuba anaamini kabisa matokeo halali ni yale majumuisho yanayotangazwa na msimamizi wa Uchaguzi.

Namkumbusha tu Nkuba hii ni Dunia ya Sayansi na Teknolojia Ndio sababu hata Maalim Seif mwaka ule 2015 aliweza kuhesabu kura zake zote kabla Jecha hajachafua hali ya hewa.

Lakini Wakili Msomi Nkuba amewatumbua macho CHADEMA namna wanavyoweza kulinda Kura zao ni kutumia mitandao ya Kijamii ipasavyo.

Mwisho nakubaliana na Tundu Antipas Lisu kwamba Mawakili wa Kenya wako mbele ya Mawakili wa Tanzania kwa hatua 100.

Sabato Njema 😄😄😄
Soma pia: Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura 1274
Kama vile namuona NAPE anavyocheka kwa kumuingiza chaka huyu jamaa 🤣 🤣 🤣
 
Binadamu Ana hulka moja. Ukimkataza au kumshauri asifanye kitu Fulani, likely atafanya hicho kitu. Ukweli ni kwamba Mwabukusi anaweza kuwa populist, lakini kitendo kwamba anaweza kuivimbia au kuisema serikali, bila woga, kwa wengi ni uthubutu unaompa uhalali wa kuwa Kiongozi.

Pia kwa Tanzania yetu, ukishakuwa associated na chama tawala, ni ngumu kuwa kiongozi. Unless wewe ni katika Yale makundi ya daraja la chini vijijini au pia ni mtumishi pendwa wa ile kada yenye ugomvi wa kudumu na Mpwayungu Village .

Imagine mtu kama Mtatiro, aliyekuwa DC wa CCM anaandika makala za kumpigia campaign Nkuba. Hili lilitosha kumuangusha. Kiufupi, Nkuba, anaweza kuwa kiongozi mzuri na mwenye maono, lakini anaonekana ni mgombea aliyekuwa na support ya mfumo au chama. Na hili pekee lilitosha kumdondosha.

Ushauri wangu kwa Nkuba, avunje kambi yake, ashirikiane na Rais Mteule. He is still young. Atagombea tena mda mwingine.
 
Back
Top Bottom