sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Kocha Mkuu wa Ndanda, Ndugu Malale 50 ameapa Jumamosi anaenda kufuta uteja dhidi ya Simba SC.
Namnukuu.. "Jumamosi tunaenda na mfumo wa 4-2-3-1 ambao naamini utaweza kuwamaliza haraka Simba".
Ikumbukwe;
1. Tangu Ndanda ipande daraja mwaka 2014 haijawahi kuifunga Simba SC katika mchezo wowote.
2. Katika TPL msimu huu, mpaka sasa Ndada kacheza gemu 3, kashinda 1 kafungwa 2.. Kafunga goli 1, kafungwa goli 4.
Sasa kwa beki hii mbovu + lile 'shati' lao golini, unawazuiaje MK14, Okwi au Kichuya? Hapo sijagusia safu yao mbovu ya ushambuliaji itakayokuta na Ukuta wa Berlin unaoongozwa na Jenerali Wawa.
Ndugu Malale 50, kama unataka kupunguza idadi ya magoli tutakayokufunga tumia mfumo wa 10-0-0, la sivyo tutakushushia gharika kama tuliowashushia Ndala mwaka 1977.
Tukutane Nangwanda Sijaona 15/09/2018.
Nikiripoti nikiwa safarini kuelekea Mtwara... Ni Mimi sembo wa Simba TIIIIIIIIVIIIIIIIIIIIIIIIII (in George Maratu Voice)
Namnukuu.. "Jumamosi tunaenda na mfumo wa 4-2-3-1 ambao naamini utaweza kuwamaliza haraka Simba".
Ikumbukwe;
1. Tangu Ndanda ipande daraja mwaka 2014 haijawahi kuifunga Simba SC katika mchezo wowote.
2. Katika TPL msimu huu, mpaka sasa Ndada kacheza gemu 3, kashinda 1 kafungwa 2.. Kafunga goli 1, kafungwa goli 4.
Sasa kwa beki hii mbovu + lile 'shati' lao golini, unawazuiaje MK14, Okwi au Kichuya? Hapo sijagusia safu yao mbovu ya ushambuliaji itakayokuta na Ukuta wa Berlin unaoongozwa na Jenerali Wawa.
Ndugu Malale 50, kama unataka kupunguza idadi ya magoli tutakayokufunga tumia mfumo wa 10-0-0, la sivyo tutakushushia gharika kama tuliowashushia Ndala mwaka 1977.
Tukutane Nangwanda Sijaona 15/09/2018.
Nikiripoti nikiwa safarini kuelekea Mtwara... Ni Mimi sembo wa Simba TIIIIIIIIVIIIIIIIIIIIIIIIII (in George Maratu Voice)