DOKEZOMalamba Mawili Msikitini hakuna maji bombani kwa miezi miwili, DAWASA ukiwapigia wanajibu tumepokea taarifa tutaiwasilisha sehemu husika inaishia hapo
Kwa nini usiyanunue hayo matanki ukayasambaza kwa kuyagawa kwetu maana unaongea kama umekatika kichwa, hayo matanki yanagawiwa bure? Kila mtu ana uwezo wa kuyanunua? Acha majibu ya usingizini wakati uko macho