malangali high school

Bengazuu

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2013
Posts
1,029
Reaction score
1,236
wakuu msaada juu ya feedback ya shule tajwa hapo juu
 
Ipi xaxa maana mi nilisoma hapo kitambo xana,unataka kujua nini
 
Mazingira kama unataka kusoma yapo gud,maana umeme upo na network ipo,wakati huo havikuwepo vyote,baridi ipo xana tu,nimemaliza form six 2006 pale
 
weee ilo bonge la place kwa kusoma ila ni chaka vibaya mno na ni boys tupu next week naenda huko kuchukua result slip yangu aisee
 
weee ilo bonge la place kwa kusoma ila ni chaka vibaya mno na ni boys tupu next week naenda huko kuchukua result slip yangu aisee

kawaida tu hasa ukishafika pale njia panda ya kwenda kwa wagumu mgl the great since 1928.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…