Malaria kwa mtu mzima 500-1200 mtu mzima upande wa kina una maana gani?kwenu ma dk

Malaria kwa mtu mzima 500-1200 mtu mzima upande wa kina una maana gani?kwenu ma dk

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Jana nilikuwa na ndugu kadhaa rose garden tunabishana kuhusu uwezo wa mtu mzima kupata malaria 500
katika mjadala alitokea kijana mmoja aliesema amefanikiwa kusoma muhimbili chuoni aka disco mwaka wa tatu...hayo yote ni maisha na sasa ni mkurugenzi wa kampuni fulani
sasa katika maongezi niliuliza hivi mtu mzima kinga zake zinakuwa kiasi gani mpaka malaria yote 500 mpaka 1000 izame kunako
anayway sipendi kuwa msemaji zaidi ningependa niombe wataalamu wa jf then nilinganishe na majibu ya huyu kijana je ni sahihi??? Kwa wale mliofanikiwa kumaliza miaka 5 embu tusaidien kwa hili

inapofika mtu mzima ana malaria 550.555 yaani kingazake zinakuwa zimekwenda wapi ama ile malaria inakuwa ni angalizo tu la kuubeba ugonjwa mwingine??

Dk naomben msaada..hili litasaidia si tu kwangu hata kwako na ukoo wenu iwapo kuna kadalili kingine inasaidia pale mgonjwa anapokutwa na malaria kiasi hiko basi tujue tupime na nini ya ziada bila kupotesa muda
 
Jaribu kungalia hii formulae:

observed malaria parasited x Total RBC/µl =parasite/µl of blood (500)
total RBC in 25 microscopic fields (mag 100x)


where: Total red blood cells (RBC) = 4.5 - 5 millions/µl
 
Jaribu kungalia hii formulae:

observed malaria parasited xTotal RBC/µl =parasite/µl of blood (500)
total RBC in 25 microscopic fields (mag 100x)

where: Total red blood cells (RBC) = 4.5 - 5 millions/µl

mkuu ulichofanya hakisaidii sana , toa na ufafanuzi kidogo
 
Jaribu kungalia hii formulae:

observed malaria parasited xTotal RBC/µl =parasite/µl of blood (500)
total RBC in 25 microscopic fields (mag 100x)


where: Total red blood cells (RBC) = 4.5 - 5 millions/µl

Dah nimetoka kapa kabisa aisee!
 
yaani Pdidy yote ni kutaka kudukuzi uwezekano wa DCI kuwa na UKIMWI? Aisee wewe umpima lakini?
 
hapa kaka lymo mie naona hujafanya lolote,wewe tueleze kama kuna uwezekano wa mtu mzima kuwa na marali hao waloandikwa hapo,sio kutuletea migawanyo yako sisi!
 
Jaribu kungalia hii formulae:

observed malaria parasited xTotal RBC/µl =parasite/µl of blood (500)
total RBC in 25 microscopic fields (mag 100x)


where: Total red blood cells (RBC) = 4.5 - 5 millions/µl

Sasa wewe unatupeleka KUBAYA:becky: Wengine hesabu pekee tujuayo ni kuhesabu shilingi mfukoni basiii!!!!
 
yaani pdidy yote ni kutaka kudukuzi uwezekano wa dci kuwa na ukimwi? Aisee wewe umpima lakini?

mkuu ntamaholo ntake radhi tena ya nyuma kabisa
sio dci pekee wapo wengi wameumwa na wanaendelea kuumwa wana malaria 600 nk hii ni kusaidia wengine tujue tunafanyaje tuna mandugu kila wakienda hosp wao wana malaria 700 -1150.557
 
hapa kaka lymo mie naona hujafanya lolote,wewe tueleze kama kuna uwezekano wa mtu mzima kuwa na marali hao waloandikwa hapo,sio kutuletea migawanyo yako sisi!

mwenzio ka paste unataka aje kututukana mkuu na wwewe meza kama ilivyo ukatafute suluhishi mbele ya safari haya
aika lyimo kanyi lakini leeeeeeeeeeeeeeeeeee mleo lurere cha mndu wo kanyi mndu msima kowa na malaria inganyi kuro nukeri necha kabisa ...ngi pm ulakuso walakukolimba uwinyi
ruwa nawasarie wosee ruore malaria inganyi kuro alafu leeee uyanaaaaa huu umbicho ambuya wandu wawicho waiandika uwicho tupu nacho naamba mleu lya naiwawiwo shindu shillah??waisuko suko tupu
 
kaka nakusifu kuleta hii mada ni kwa kwamba ni jambo lisilo la kawaida mtu yeyoto kupata malaria 10 au chini maana unaaagalia malaria kwa microscopy unaweka magnification au lens yenye uwezo wa kukuza (kumagnefy) mdudu mpaka mara 100 na ili ujue una wadudu wangapi wanacompare na white blood cell ambazo unahesabu 200. Kwa exprience yangu huwezi ukakuta 10 parasites in 200wbc.
Therefore ni kwamba 10-500 ni malaria ya kawaida.
500-1500 ni modarate malaria.
1500 kuendelea ni severe malaria. Kwahiyo malaria ya DCI ni ya kawaida tu
 
malaria 500 mbona kawaida tu mkuu,

watu wanapata hata zaidi ya 3000 lakini hasa hasa watoto ambao immunity yao bado haijakomaa vizuri. Likelihood ya mtu kupata wadudu wengi wa malaria huchangiwa zaidi na eneo analotoka/kuishi mathalan kama kuna mbu wa malaria. In short immunity against malari ni determinant kubwa ya level of parasitemia.
 
Back
Top Bottom