Dah!Mkuu REX,kwanini usimwage maujuzi hapa jamvini tufaidi sote?There is a saying," an apple a day keeps a doctor away." the best solution is to make your young sister improve her own immune system. Medicines are just helping the immune system to fight infections, and doctors of tommorow wil not use drugs to treat patients bt wil use fruits and vegetables to treat their patients, pm me for free consultation or call 0752720276 to know how you can build a strong body immunity and reduce succeptibility to infections and improve your cardiovascular functions.
Wandugu mdogo wangu amekuwa na tatizo yani haipiti wiki 3 lazima aumwe malaria tumeshabadilisha dawa za kila namna lakini wapi mwenye uwezo wa kutusaidia tatizo atuambie jamani
Mkuu King Kong III nijuavyo mimi ndimu ina idadi zake ukipata na kuitengeneza inatibu malaria sijajuwa kuwa maji yamdamu uchanganye na Dafu kuwa inatibu malaria hiyo ninakusikia wewe leo. Zipo dawa nyingi tu za kienyeji za kutibu ugonjwa wa Malaria mojawapo ni Mjani ya Mti wa muarubaini unatibu ugonjwa wa malaria na ingine dawa nyingi tu za kienyeji zinaweza kutibu ugonjwa wa Malaria.Kuna mtu aliniambia maji ya dafu ukichanganya na ndimu ni dawa ya malaria ila sina uhakika labda MziziMkavu aje atueleze kama hyo tiba ni kweli
Badala ya kuhangaika kutafuta dawa tu tuweke juhudi katika kupambana na ongezeko la Mbu nchini kwa kuhakikisha maeneo yote ya maji ya mvua yaliyosimama yanatiwa dawa ambazo zitaondoa uwezekano wa mbu kuzaliana, mifereji kusafishwa ili kuhakikisha maji ya mvua hayapati nafasi ya kusimama na kuwa vyanzo vya sehemu ambazo mbu wanaweza kuzaliana, vichaka karibu na maeneo wanayoishi watu vinasafishwa ili kuondoa maeneo ambayo mbu wanaweza kujificha tayari kufanya mashambulizi yao. Siku zote kinga ni rahisi mno kuliko tiba.
MIMI NINACHOSHAURI NI KUTUMIA TEKNOLOJIA ILE ILIYOTUMIA KWA MBUNG'O PALE KANGE MKOANI TANGA KUZAZISHA
MADUME MENGI YA MBU AMBAYO NI TASA HAYA YATASHINDWA KURUTUBISHA MAYAI YA MBU JIKE KWA MSINGI HUO MAYAI
YOTE YATAKAYOTAGWA YATAKUWA VIZA WALA HAKUNA KUHARIBU MAZALIA YAO KUFYEKA AU KUHARIBU MAZINGIRA SHIDA
WASOME WAZURI BADALA YA KUBAKI KWENYE TAASISI ZA ELIMU WAFANYE UTAFITI WANAKIMBILIA BUNGENI KUBWABWAJA
SHIDA YA MAENDELEO DUNI TANZANIA NI UVIVU WA KUFIKIRI NDIO SABABU RASILIMALI WATU NI SAWA NA SIFURI.MKUU.@BAK
MamndenyiMziziMkavu unakumbuka mwaka juzi mlifuga mbu hapo jangwani kwa lengo kama hili ulilolisema hapa chini,
nashangaa ule utafiti ulishindikana na wakafungulia wale mbu wakazaa kila mahali hadi muhimbili wagonjwa walihangaika sana, sie wakazi wa jangwani ndo loo,
tz sijui kwanini wataalam wetu wanakuwa hivyo, wakishapokea 10% zao wanaishia chama sema lolote kuhusu hili hapa.
Sijui ulikuwa mradi wa nchi gani, au ndo miradi ya clinton sijui.
Mamndenyi
vita dhidi ya mbu ni rahisi sana nakumbuka zama hizo watu walikuwa wakishiriki kwa pamoja kusafisha mazingira; kufukia madimbwi; kusafisha mifereji; siku hizi mjumbe wa mtaa akiwa CCM Chadema watagoma kushiriki; jamani hata huku tunasafisha mazingira yetu community service tunajitolea angalau mara moja kwa mwezi; familia zote zinashiriki hakuna anayeuliza mbona kodi tumekatwa huo ndio uzalendo!