Naona anamuenzi Mwendazake kwa KUTO- KUVAA BARAKOA!
mzee ma v8Dah...hivi ile nafasi yake CCM inashikiliwa na nani kwa sasa?
Keshachanjwa tayari... Ugali mtamu sana
dah kuwa mswahili tabu kwelNaona anamuenzi Mwendazake kwa KUTO- KUVAA BARAKOA!
hahahaaaaJe ameenda na covid 19 vaccination certificate!,njaa ya matumbo ni hatari, mdomo mdomo wake kwisha kazi