kilam
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 2,092
- 2,128
Kati ya watu milioni 1.3 wanaofariki dunia kila mwaka kutokana na ajali za barabarani, 49% ni watu wanaotembea, waendesha baiskeli na pikipiki, shirika la mazingira la Umoja wa mataifa UNEP linasema.
Hizi ndizo takwimu za watu waliokufa wakitembea au wanapoendesha baiskeli katika ajali za barabarani:
Ripoti ya utafiti huo wa UNEP iliyopewa jina 'Global Outlook on Walking and Cycling', inaeleza kuwa ukosefu wa uwekezaji katika kuhakikisha watu wanatembea na kuendesha baiskeli salama ndiyo unaochangia vifo vya mamilioni ya watu na kupuuza nafasi nzuri ya kuchangia katika vita dhidi ya mabadiliko ya hali ya hewa.
Malawi na Kenya ni nchi hatari zaidi kutembea na kuendesha baiskeli - BBC Swahili
Hizi ndizo takwimu za watu waliokufa wakitembea au wanapoendesha baiskeli katika ajali za barabarani:
- Malawi: 49% wanaotembea, 14-17% wanaoendesha baiskeli
- Kenya: 47% wanaotembea, 14% wanaoendesha baiskeli
- Afrika kusini: 50% wanaotembea, 3% wanaoendesha baiskeli.
Ripoti ya utafiti huo wa UNEP iliyopewa jina 'Global Outlook on Walking and Cycling', inaeleza kuwa ukosefu wa uwekezaji katika kuhakikisha watu wanatembea na kuendesha baiskeli salama ndiyo unaochangia vifo vya mamilioni ya watu na kupuuza nafasi nzuri ya kuchangia katika vita dhidi ya mabadiliko ya hali ya hewa.
Malawi na Kenya ni nchi hatari zaidi kutembea na kuendesha baiskeli - BBC Swahili