Malawi Vs Tanzania Oktoba 11, 2015

Sijui kuhusu Ryo, Ila kuhusu Campbell, utaifa wake (is it Costa Rica or Colombia) ulihusika! Wakati anasaini arsenal, alikuwa mfugaji bora wa world cup U21, na nchi yake ilikuwa juu at FIFA ranks

campbell alipelekwa kwa mkopo miaka miwili ndo akapata kibal so mkuu kufanya majaribio inawezekana then akapelekwa kwa mkopo
 
Sijui kuhusu Ryo, Ila kuhusu Campbell, utaifa wake (is it Costa Rica or Colombia) ulihusika! Wakati anasaini arsenal, alikuwa mfugaji bora wa world cup U21, na nchi yake ilikuwa juu at FIFA ranks

ni costa rica and then hukumbuk mrisho ngassa na west ham? dah ananisikitisha
 
Nipo kwenye basi naenda Morogoro, leteni updates jamani
 
Mungu tusaidie timu yetu ionyeshe mabadiliko na kuweza kuing'oa malawi na tufike urusi kama ukawa itakavyoiondoa ccm madarakani, amen.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…