Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Andiko hili limenibubujisha machozi !Kila la kheri Ndugu zetu Wamalawi hata Uchaguzi wenu yaliyaka kuwakuta lakini mkasema hapana sisi tumeibiwa kura mchana kweupe na sasa tunaangamizwa
Washirikina utawajua tuHiyo dawa wanayoita chanjo inaashiria kutimia kwa unabii wa 666 kwamba hakuna kuuza wala kununua bila kupokea alama ya mnyama...hakujawahi kutokea chanjo ambayo kila mtu duniani analazimishwa kuchanjwa, vinginevyo anabaguliwa, yetu macho na masikio...
Usinichanganye na hao mnaolumbana kwenye mambo ya siasa, jaribu kujiheshimu...Washirikina utawajua tu
Huna tofauti yoyote naoUsinichanganye na hao mnaolumbana kwenye mambo ya siasa, jaribu kujiheshimu...
OKHuna tofauti yoyote nao
Andiko hili limenibubujisha machozi !
Niko njiani naelekea huko hukoWewe muli bwino, kama unaona Malawi wanafaidi si uende huko kwa ndg zako???