Wakati Dr. Bingu wa Mutharika alipoamua kupambana na mafisadi nchini mwake, wengi hawakuamini kama atafanikiwa. Mambo yalikuwa magumu hadi akalazimika kukiacha CHAMA kilichomweka madarakani.
Mafisadi nao wakatangaza vita dhidi ya raisi huyo na ikapita mizengwe mingi sana bungeni wakijaribu kuifanya serikali yake ishindwe kufanya kazi na wakati fulani wabunge ambao wengi wao ni mafisadi walijaribu kukwamisha miswada ya serikali ikiwemo bajeti.
Sasa katika uchaguzi huu wananchi wa Malawi wamesema kwa kauli nzito kwamba wako nyuma ya kiongozi wao katika mapambano haya kwa kumchagua kwa karibia 70%
SWALI hapa ni kama hata sisi tunaweza? JK yuko tayari kuiacha CCM tukamuunga mkono? Wadau Tujadili!
Mafisadi nao wakatangaza vita dhidi ya raisi huyo na ikapita mizengwe mingi sana bungeni wakijaribu kuifanya serikali yake ishindwe kufanya kazi na wakati fulani wabunge ambao wengi wao ni mafisadi walijaribu kukwamisha miswada ya serikali ikiwemo bajeti.
Sasa katika uchaguzi huu wananchi wa Malawi wamesema kwa kauli nzito kwamba wako nyuma ya kiongozi wao katika mapambano haya kwa kumchagua kwa karibia 70%
SWALI hapa ni kama hata sisi tunaweza? JK yuko tayari kuiacha CCM tukamuunga mkono? Wadau Tujadili!
Malawi president wins re-election
![]()
![]()
Malawi's President Bingu wa Mutharika has won a second five-year term in office, according to the country's electoral commission. The commission said that he had won 2.7 million votes, with his nearest rival John Tembo winning 1.2 million.
Mr Tembo has alleged that there was election fraud.
The new president is due to be inaugurated on Friday, and several regional leaders are already in Malawi to attend the swearing-in ceremony.
"I declare Bingu wa Mutharika, president of the DPP (Democratic Progressive Party), winner of 2009 presidential elections," said commission head Anastacia Msosa.
The result was declared after 93% of polling stations had submitted their figures.
Mr Mutharika, a 75-year-old former World Bank official, saw his DPP taking a clear lead in parliamentary elections as well.
BBC News