Malawi yaelemewa na kuomba msaada kukabiliana na Kipindupindu

Malawi yaelemewa na kuomba msaada kukabiliana na Kipindupindu

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Uamuzi wa Serikali unafuatia kuendelea kusambaa kwa Ugonjwa huo hatari kwenye Wilaya 29 za Nchi hiyo na kuambukiza Watu 20,000 pamoja na kusababisha vifo takribani 700

Taarifa ya Serikali imeziomba Jamii, Kampuni na Mashiriki Binafsi kusaidia Vifaa Tiba, Uboreshaji Miundombinu ya Maji kwenye Shule, Fedha na Dawa ili kuweza kukabiliana na maambukizi yanayoenea kwa kasi

Katika kuchukua tahadhari, Serikali ya Tanzania imetuma Timu ya Madaktari, Wataalamu wa Magonjwa ya Mlipuko na Maafisa Afya ya Mazingira kwenye Mikoa ya Mpakani (Songwe, Mbeya na Ruvuma) kutoa mafunzo Afya ya jinsi ya kubaini wagonjwa kwa kutumia kipimo cha haraka.

1673271168576.png

1673271142912.png
 

Attachments

  • 1673271125977.png
    1673271125977.png
    159.6 KB · Views: 5
Daah Lilongwe ina maeneo ni machafu sana watu wanatupa taka hovyo kuliko maelezo na maji wameweka Luku ni ghari kuliko umeme...nilipita sokoni kule hasa mvua ikinyesha ni balaa kweli kipindupindu ni Uchafu na wa chips wanapika mtaani huwa wanakula bila hata kunawa aisee tembea uone huko Kasungu kote sio kabisaa..
 
Back
Top Bottom