Malazi ya bei nafuu kwa wahitaji

Malazi ya bei nafuu kwa wahitaji

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1698652593600.png

Malazi haya huwa yanalipiwa kwa siku, kitanda kinaweza kuwa €20 kwa siku. Huwasaidia sana wasafiri vijana hasa wanafunzi. Kuna huduma ya maliwato, unaoga vizuri na kupata usingizi wako mnono.

Hizi huduma huwafaa sana wale walio na migogoro kwenye ndoa. Baada ya kushindwana na mama mtoto/watoto na ameshakushitaki child support agency, mshahara unamegwa juu kwa juu, unaishia kulala kwa €20 kwa siku wakati unajipanga.

Anyway huduma hii ingewafaa sana watu wa mikoani wanaopata rufaa katika hospitali kubwa mfano Muhimbili.

Changamoto za kutoa huduma hii ni pale unapopata wageni wenye kunguni, maana watasambaa chumba kizima. Changamoto ya pili ni kuweka mahasimu wawili chumba kimoja, wanaweza kuchomana visu usiku.
 
View attachment 2797742
Malazi haya huwa yanalipiwa kwa siku, kitanda kinaweza kuwa €20 kwa siku. Huwasaidia sana wasafiri vijana hasa wanafunzi. Kuna huduma ya maliwato, unaoga vizuri na kupata usingizi wako mnono.

Hizi huduma huwafaa sana wale walio na migogoro kwenye ndoa. Baada ya kushindwana na mama mtoto/watoto na ameshakushitaki child support agency, mshahara unamegwa juu kwa juu, unaishia kulala kwa €20 kwa siku wakati unajipanga.

Anyway huduma hii ingewafaa sana watu wa mikoani wanaopata rufaa katika hospitali kubwa mfano Muhimbili.

Changamoto za kutoa huduma hii ni pale unapopata wageni wenye kunguni, maana watasambaa chumba kizima. Changamoto ya pili ni kuweka mahasimu wawili chumba kimoja, wanaweza kuchomana visu usiku.
Mkuu soma ulichoandika halafu tafakari kama ujumbe/ tangazo lako limeeleweka.
Maswali ni mengi kuliko majibu.
 
View attachment 2797742
Malazi haya huwa yanalipiwa kwa siku, kitanda kinaweza kuwa €20 kwa siku. Huwasaidia sana wasafiri vijana hasa wanafunzi. Kuna huduma ya maliwato, unaoga vizuri na kupata usingizi wako mnono.

Hizi huduma huwafaa sana wale walio na migogoro kwenye ndoa. Baada ya kushindwana na mama mtoto/watoto na ameshakushitaki child support agency, mshahara unamegwa juu kwa juu, unaishia kulala kwa €20 kwa siku wakati unajipanga.

Anyway huduma hii ingewafaa sana watu wa mikoani wanaopata rufaa katika hospitali kubwa mfano Muhimbili.

Changamoto za kutoa huduma hii ni pale unapopata wageni wenye kunguni, maana watasambaa chumba kizima. Changamoto ya pili ni kuweka mahasimu wawili chumba kimoja, wanaweza kuchomana visu usiku.
Zinapatikana wapi tuje?
 
Back
Top Bottom