Malazi ya bei nafuu nchini Rwanda na Burundi!

Malazi ya bei nafuu nchini Rwanda na Burundi!

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Nipo Kampala, lakini huenda nikahitaji kufika Rwanda na Burundi.

Naomba taarifa za hivi karibuni juu ya:
1. Hali ya hizo nchi kiusalama (Rwanda na Burundi)

2. Gesti za bei nafuu lakini salama katika miji ya Kigali nchini Rwanda, Bunjumbura nchini Burundi, na Gitega nchini Burundi.

Naamini huku kuna watu wanaoishi huko au wenye taarifa za hivi karibuni.

Asanteni🙏🙏🙏
 
Sitaki kuamini kuwa hakuna mwana JF aliyefika Kigali na Bunjumbura hivi karibuni.
Mie nilifika kitambo Magerwaa tukala bia wanaita Mutzig..ujazo lita moja... 🙂 halafu mademu wazuriii ila wana kiharufu fulani hivi kama uvundo 😎
 
Back
Top Bottom