Wewe unaonaje, Malecela akiwa rais, Anne first lady, Tanzania without mafisadi is possible.
Malecela is so old school, nisingeshangaa kama angewashikia fimbo hawa vijana kama Nyerere.
Malecela has been in the system since the sixties, and has a bigger sense of entitlement than Kikwete, potentially compounding his entlitlement borne issue to be bigger than Kikwete's.
Malecela si ndiye huyu aliyewaaambia watanzania "they can go to hell"?
Malecela mtu aliyekataliwa na wananchi wa jimbo lake katika ubunge ndiyo aende kuwa rais?
Malecela ambaye Nyerere alimuita "muhuni"?
Au Malecela gani?
Kama ni huyu utakuwa assured nchi kuendeshwa na draconian grip kuliko ya Kikwete.Mseme Kikwete unavyotaka, na mimi namsema, the reason we fault him on fredom of press is because we demand impeccably high standards, lakini mpaka kufikia kufungiwa gazeti bongo lazima umekandamiza kiaina, tena ile si ki professional. Malecela angeendesha nchi kichama chama tungeona CCM inashika hatamu tena.Ingawa kwa watu wa CCM hii ndiyo wangetaka, kwa wapenda demokrasia hili lingekuwa pigo.
Tunataka mtu ambaye eithert hakuwa kwenye top leadership kabisa au kaingia karibuni.Huyu Malecela kina Kikwete wamemkuta kashakaa serikalini miaka kibao.Vyeo alivyopitia Malecela in the 60s huko katika ngazi za mkoa kina Kikwete wamezipitia miaka ya 80, sasa kumtoa Kikwete na kumuweka Malecela kutakuwa progress kweli?
Iwapo anaweza kutoa busara za wanafunzi wote kufukuzwa na kudahiliwa upya? Hiyo yatosha.
CCM ina credibility ya kuongoza ikiwa na viongozi wanaopepesuka kama huyu. Wakisapotiwa na upinzani.
Mwenyewe Kitila wa Chadema keshamkubali, mambo mswano duh, Melecela for president 2010.[/B]
Ha this is very interesting. Lakini ikumbukwe kuwa mwalimu alimuita Melecela mhun kutokana na issue ya Tanganyika, na nyingine ndogondogo. Nadhani kama angekuwa rais angekuwa na judgment nzuri zaidi na mwelekeo wa nchi kwa ujumla ungekuwa unaeleweka kuliko kama ilivyosasa kwenye mika hii miwili mitatu. Lakini naona tumeingia kwenye era mpya ya uongozi. Ni ndoto sana kwa CCM asili kurudi madarakani, hata JK akiondoka itakuja kadre mpya, lazima tuweze kudeal na challenges ili tuweze kwenda mbele na sio kurudi kulekule tulikotoka.
45 Years ago, Kibaki and Michuki were in cabinet, and Kennedy was running for president. Obama was 1 year old. 45 years later kibaki and Michuki are still in cabinet, and Obama is a president as Kennedy was. In 45 yrs Obama's father is dead, USA had different presidents in between Johnson, Carter, Nixon, Ford,Reagan,Clinton, Bush snr and jnr, but in Kenya the same guys in their 70's and 80's are still trying to tell kenyans they can make development models that work. This makes you thinks there is something wrong with Africa.
Kwa mawazo ya kumrudisha Malecela Madarakani ni sawa na kituko hicho hapo juu.
Mungu akimpa uhai JK bado atakuwa mgombea wa uraisi kwa tiketi ya CCM mwaka 2010
Malecela si ndiye huyu aliyewaaambia watanzania "they can go to hell"?
Mkuu Pundit,naomba nifanyie clarifications za hii statement hapo juu huyu mzee aliyasema haya lini tena?Au ndio mnataka kumwamsha FM ES atoke huko alipojificha!
Malecela si ndiye huyu aliyewaaambia watanzania "they can go to hell"?
Mkuu Pundit,naomba nifanyie clarifications za hii statement hapo juu huyu mzee aliyasema haya lini tena?Au ndio mnataka kumwamsha FM ES atoke huko alipojificha!
Inaelekea yeye ndio atakayeyaweza kuyashughukilia matatizo yanaiyoikumba nchi ikiwemo ufisadi?
Je ni wakati wa CCM kumfikiria kama mgombea urais kwa tiketi ya chama chao 2010.[/QUOTE
J Malechela hafai hata ukatibu kata
AmaniGK,
Hiyo hata mie naikumbuka. Nilikuwa Arusha miaka hiyo. Ilikuwa ni kati ya mwaka 1986 - 1989. Sikumbuki mwaka hasa lini. Watu (wandishi wa habari?) walimfuata Malecela na kumwuuliza matatizo ya usafiri Tanzania. Wakati huo reli ya kazi ilikuwa ni kawaida kusikia ajali mbaya imetokea. Ajali za mabasi nazo zikawa kawaida tu. Kwenye train ukisafiri ni kizaa zaa tupu. Nakumbuka safari moja miaka hiyo nilisafiri kwa Train na nilisimama kutoka Tabora mjini (saa tatu asubuhi) na nilikuja kaa kwa kama dakika 5 station ya Gairo nilivyotokea dirishani na kwenda punguza maji. Hii ni shida moja tu na niseme ilikuwa ina nafuu sana kulingana na nyingne kibao ambazo train lilikuwa linakaa hata wiki nzima njiani. Sijui ni watoto wa kike wangapi waliharibiwa kwa kukosa senti/chakula katika maeneo ya ugeni.
Walipomfuata MALECELA na kumwambia TANZANIA kuna shida ya usafiri, malecela akajibu kwa kusema " ...Nani anasema Tz kuna shida ya usafiri? Anayesema Tz kuna shida ya usafiri - HE CAN GO TO HELL......." Baada ya hapo magazeti yote yakawa yakidai AOMBE MSAMAHA. Wakasema kama yeye anasafiria Benz si kuwa wote wana uwezo huo. Mwisho walikuja wakasema "ameomba msamaha" na mjadala ukafungwa. Kama sikosei Lusekelo alikuja akaandika kuwa "inatosha awaulize Wagogo wake jinsi wanavyosafiri".
Kama kuna OLD SCHOOL ningependekeza agombee basi ni SALLIM AS. Ila hata naye ningelitaka kujua Biashara zake zikoje kwa sasa na akishika madaraka tusije kuwa tumeifanya hiyo kampuni iwe ya TAIFA.
AmaniGK,
Kama kuna OLD SCHOOL ningependekeza agombee basi ni SALLIM AS. Ila hata naye ningelitaka kujua Biashara zake zikoje kwa sasa na akishika madaraka tusije kuwa tumeifanya hiyo kampuni iwe ya TAIFA.