Elections 2010 Malecela ang'oa mashine ya maji aliyokifadhili kijiji cha Mtera?

Elections 2010 Malecela ang'oa mashine ya maji aliyokifadhili kijiji cha Mtera?

minda

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2009
Posts
1,068
Reaction score
67
katika hali inayoonesha kuwepo kwa machungu ya kushindwa katika kura za maoni ndani ya chama chetu, malecela anadaiwa kung'oa mashine aliyokifadhili kijiji cha mtera kwa kisingizio cha yeye kutokuthaminiwa na wana kijiji hao.
habari nilizopata kutoka kwa kigogo mmoja wa ccm mkoani ni kwamba chama mkoani kimeamua kufuatilia suala hilo na kumsihi mzee malecela aachane kuendeleza makundi ndani ya chama na suala hilo kuonekana kama kadhia kwa chama.
mkuu mwenye taarifa zozote zaidi atutaarifu kwani mambo hayo ya 'upatanishi' yamekuwa yakifanyika kwa usiri na uangalifu mkubwa.
nawasilisha!!
 
Heheeheheeheh Melecela anavioja sana huyu! Kumbe alikuwa anataka uongozi kwa kutumia pump ya mchina shame on you!
 
:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance:
 
katika hali inayoonesha kuwepo kwa machungu ya kushindwa katika kura za maoni ndani ya chama chetu, malecela anadaiwa kung'oa mashine aliyokifadhili kijiji cha mtera kwa kisingizio cha yeye kutokuthaminiwa na wana kijiji hao.
habari nilizopata kutoka kwa kigogo mmoja wa ccm mkoani ni kwamba chama mkoani kimeamua kufuatilia suala hilo na kumsihi mzee malecela aachane kuendeleza makundi ndani ya chama na suala hilo kuonekana kama kadhia kwa chama.
mkuu mwenye taarifa zozote zaidi atutaarifu kwani mambo hayo ya 'upatanishi' yamekuwa yakifanyika kwa usiri na uangalifu mkubwa.
nawasilisha!!

Wasubiri Riz1 akifika huko atawapatanisha na watarudishiwa mashine yao!!!!!!
 
Mkuu ni kijiji gani alichong'oa hizo pamp za mchina? kwani mtera ni kubwa mno!
 
Mzee huyu ana hasira! Aliwaambia Watanzania "To hell" Hivyo hakuna la ajabu.
 
maendeleo ya ccm ni mtaji wa kura. kama huipi kura wanakula kwako
 
kijiji chenyewe ni mtera bwawani kwa mujibu wa kingunge aliyetoa siri hiyo ambayo sio siri tena.
 
katika hali inayoonesha kuwepo kwa machungu ya kushindwa katika kura za maoni ndani ya chama chetu, malecela anadaiwa kung'oa mashine aliyokifadhili kijiji cha mtera kwa kisingizio cha yeye kutokuthaminiwa na wana kijiji hao.
habari nilizopata kutoka kwa kigogo mmoja wa ccm mkoani ni kwamba chama mkoani kimeamua kufuatilia suala hilo na kumsihi mzee malecela aachane kuendeleza makundi ndani ya chama na suala hilo kuonekana kama kadhia kwa chama.
mkuu mwenye taarifa zozote zaidi atutaarifu kwani mambo hayo ya 'upatanishi' yamekuwa yakifanyika kwa usiri na uangalifu mkubwa.
nawasilisha!!

malari sugu upo?
 
Na yule mzee anaweza kung'oa kweli maana ana hasira za ajabu sana. Poleni wana-Mtera.
 
Kingunge mchonganishi yanamhusu nini ya mtera kwani alikuwepo wakati wanapeana?.Afunge bakuri lake huyo mzee nasikia anajiandaa kuwabwatukia maaskofu kwa mara nyingine.
 
Wakuu hii kitu imekaa kishabiki zaidi mwenye kanzisha thread hana uhakika na habari alizozileta mwenyewe anaomba mwenye taarifa za uhakika atupe badala ya kutulia kusubiri taarifa za uhakika tunakimbilia kupongezena !!!!!!.

Kama ni kweli Tinga tinga kafanya hivyo itakuwa aibu kubwa kuwahi kufanywa na kiongozi aliwahi kushika nyazifa nzito na mmoja kati ya watu saba wenye busara/hekima duniani ambao UN iliwatumia kuwashawishi makaburu wamwachie Nelson Mandela na kukomesha siasa za ubaguzi.Nasema siamini Malechela anaweza kufanya upuuzi wa namana hii nitaamini tu ikiwa ushaidi utatolewa na chanzo cha uhakika.
 
Wana inama wana inuka CCM wanaona haya haooooooooooooooooooooooo.
Unaweza tupa source pls manake isije ikawa ni hear say
 
Kingunge mchonganishi yanamhusu nini ya mtera kwani alikuwepo wakati wanapeana?.Afunge bakuri lake huyo mzee nasikia anajiandaa kuwabwatukia maaskofu kwa mara nyingine.

Hahaahhhaaaaaaaaaaa umenichekesha ndugu. Nakumbuka mabali sana. Hakuwa na maana ya Kinginge Ngombale Mwiru kaka ! Maana yake Kingunge tujuavyo sisi ni kama kumuita Kigogo fulani. Ni mkubwa kwenye chama hicho cha sisiemu.
 
katika hali inayoonesha kuwepo kwa machungu ya kushindwa katika kura za maoni ndani ya chama chetu, malecela anadaiwa kung'oa mashine aliyokifadhili kijiji cha mtera kwa kisingizio cha yeye kutokuthaminiwa na wana kijiji hao.
habari nilizopata kutoka kwa kigogo mmoja wa ccm mkoani ni kwamba chama mkoani kimeamua kufuatilia suala hilo na kumsihi mzee malecela aachane kuendeleza makundi ndani ya chama na suala hilo kuonekana kama kadhia kwa chama.
mkuu mwenye taarifa zozote zaidi atutaarifu kwani mambo hayo ya 'upatanishi' yamekuwa yakifanyika kwa usiri na uangalifu mkubwa.
nawasilisha!!

Another meaning of CCM: Chukua Chako Mapema.

Bwana JM. Karibu kundini (Chadema).
 
after all husiano wake na mbeya toka enzi za gibbons mwaikambo ni wa siku nyingi atakuja tu chadema, muwe na subira
 
OH MY DEAR TINGATINGA...HOW OLD HAVE YOU GONE NOW?

P20070814-1211-N0410432W1137749-Summer-Road-Trip-421-UT--Crater-Island--Tungsten-Mill--Old-Bulldozer.jpg
 
Back
Top Bottom