Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 614
Kuna taarifa kwamba wakati wowote ndani ya siku mbili hizi Mzee John Malecela anatarajiwa kutoa tamko zito ambalo linaweza kutikisa nchi na Chama cha Mapinduzi (CCM). Lakini pia tamko lake linaweza kuweka mambo sawa na kutoa mwelekeo.
Tunafuatilia.
Tunafuatilia.
Last edited by a moderator: