Kwi kwi kwi! Msanii ndani ya nyumba ya sanaa! loh.Kuna tetesi pia mimi nitaongea na waandishi wa habari ndani ya wiki mbili zijazo.... Bado nafuatilia kama ni kweli au la.
Samahani nimeanza kwa joke ila nashawishika kuhoji kuwa hizi tetesi zimekuwa nyingi kiasi kwamba hata maana imepotea. Leta tangazo hapa ili tulifanyie kazi. Nakumbushia tu ile tetesi ya mkutano wa Zitto na Serukamba haukufanyika..... tetesi zisiwe tete.
Nakuaminia Halisi, nasubiri
Mzee Malecela kama kawaida yake atakuwa katikati kujaribu kuweka mambo sawa.
Huyu mzee pamoja na kufanyiwa fouls zote na CCM lakini hakupiga kelele za kuonewa.
Laiti wote wangesema. Sisi tungefaidi sana kwani ingetuwezesha kujua yupi yuko nasi. Lakini kwa hali ilivyo sasa wanabakia kutuaminisha kuwa wote wanajitahidi kufisadi maslahi ya Wananchi!!
Kuna taarifa kwamba wakati wowote ndani ya siku mbili hizi Mzee John Malecela anatarajiwa kutoa tamko zito ambalo linaweza kutikisa nchi na Chama cha Mapinduzi (CCM). Lakini pia tamko lake linaweza kuweka mambo sawa na kutoa mwelekeo.
Tunafuatilia.
Kuna tetesi pia mimi nitaongea na waandishi wa habari ndani ya wiki mbili zijazo.... Bado nafuatilia kama ni kweli au la.
Samahani nimeanza kwa joke ila nashawishika kuhoji kuwa hizi tetesi zimekuwa nyingi kiasi kwamba hata maana imepotea. Leta tangazo hapa ili tulifanyie kazi. Nakumbushia tu ile tetesi ya mkutano wa Zitto na Serukamba haukufanyika..... tetesi zisiwe tete.
Nakuaminia Halisi, nasubiri
Si tetesi tena. Amekwisha kuzungumza na amezungumza mambo mengi. Amezungumzia nyumbani kwake Sea View saa tano asubuhi. Tutawaletea baadae. Acheni kutukana watu na uzushi wa mambo ya kampenii chafu za wakati ule. Kama kuna mtu ana hoja atafute jukwa la kuzungumzia si kumtukana mzee wa watu. Kwa sasa tusubiri kusikia alichokisema.
mambo ya siasa hayo.kwa hiyo tumeyazoea hasa inapofikia kipindi cha kujinandi kuomba kura tena ukizingatia uchaguzi 2010