that is why I said think about it.. which you refuses!
Mmkj you are right,EPA = CCM
Muda wa kufikiri umekwisha!
Huu ni muda wa hatua za kisheria kabla hawajaanza kupotea kama ballali!
Technically, Mzee JM yuko sahihi.... waanzilishi wa hoja ya ufisadi ni CCM! think about it.
Ukiingia msituni na panga lako utaenda kufyeka miti ama? tukumbuke kwamba tunahamasishwa kutunza mazingira.
Vita ya safari hii ni vita ya Hoja, na Nguvu ya Hoja... ni vita ya kupigania Demokrasia, vita ya kuuacha ukweli ufahamike na kuweka ukweli wazi ili kila Mtanzania afahamu thamani ya Utu na Utanzania wake.
Vita ambayo tutashinda siku ile ambapo tutaamka na kupiga kura ambayo itatuhakikishia kwamba tunajiongoza wenyewe.... na tutakapoacha kupiga kura ya kula.
Hii issue si ya CCM wala upinzani, ni ya wananchi.
Anayeanza kusema hii ni ya CCM au upinzani anaonyesha jinsi gani alivyopoteza focus na priority na kutaka kupata "points" badala ya kutatua tatizo.
Hii issue ni ya wananchi na wazalendo...Ambao sasa wanajulikana!
Ama unataka kujidai umesahau CYINIST..OOPS PUNDIT!
Pardon ma language!
I'm a realist
As George Carlin would have it, the real cynist are the one putting their trust in these politicians.
I'm a realist
As George Carlin would have it, the real cynist are the one putting their trust in these politicians.
yeah Pundit,
I spent three hours last night going through his you tube clips!
RIP George Carlin
Acha unafiki wewe mzozo!
Nani anasapoti kauli chafu?
Watu tunasonga mbele na wengine mnaanza unafiki wenu kama kawa!
I'm a realist
As George Carlin would have it, the real cynics are the one putting their trust in these politicians.
kulikuwa na haja gani ya kurusha kauli kama hizi? mushi una mdomo mchafu......yes i have said it!
Mawakala wa mafisadi mmerudi!
Umelala muda mrefu sana!
Mimi HAKUNA KULALA!
Hapa ni kijweni!
Kauli ipi hiyo chafu?
Gaijin hakuna atakayeweza kujificha tena!
USHAHIDI UKO NJE NA WATU WAKAMATWE NA SI KUANZA HOJA ZA HOJA NI YA NANI!