Elections 2010 Malengo ya maendeleo ya Milleneum

Elections 2010 Malengo ya maendeleo ya Milleneum

Kanyafu Nkanwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2010
Posts
850
Reaction score
103
Tanzania imepewa TUZO kwa kuweza kufanya vema kuhusu kuandikisha watoto kwenda shule ya Msingi. Hii ni moja ya mambo muhimu sana kwa maendeleo ya Tanzania. Serikali imefanikiwa sana kwa hili. Tafadhali mpatieni habari hii Slaa ili awaeleze wananchi haya mafanikio ambayo Dunia nzima imeyakubali.
Kidumu chama cha Mapinduzi.
 
You would have been fair kama ungeeleza ni kwa percent ngapi tumefanikiwa in all the MDG's, see them below.

Millennium Development Goals

  • Eradicate extreme poverty and hunger
  • Achieve universal primary education
  • Promote gender equality and empower women
  • Reduce child mortality
  • Improve maternal health
  • Combat HIV/Aids, malaria and other diseases
  • Ensure environmental sustainability
  • Develop a Global Partnership
 
Kweli tanzania kinara wa mileniamu anayetoa cheti angekuja kukitolea kwenye shule hii.

WANAFUNZI12.jpg
 
You would have been fair kama ungeeleza ni kwa percent ngapi tumefanikiwa in all the MDG's, see them below.

Millennium Development Goals

  • Eradicate extreme poverty and hunger
  • Achieve universal primary education
  • Promote gender equality and empower women
  • Reduce child mortality
  • Improve maternal health
  • Combat HIV/Aids, malaria and other diseases
  • Ensure environmental sustainability
  • Develop a Global Partnership

Nymbala vyote hivi vinakuja vyenyewe once kila mmoja akiwa na shule ya kutosha. Shule kwanza kwa kila kitu. Hivi vitu unaelewa wazi.
 
Someni Business Week magazine la wiki jana lililotolewa ndani ya Gazeti la Citizen Jumatano wiki iliyopita. Assessment iliyomo inasema katika nchi 5 za Afrika Mashariki Tanzania ni the last but one katika ufanikishaji wa MDGs. Imeipita Burundi peke yake. Sasa hiyo tuzo inatoka wapi. Hizi ni ghiliba za wale wanaofaidi raslimali zetu. Wanatupaka mafuta kwa mgogo wa chupa (taking us for a ride).
 
Mimi nadhani watoa vyeti wangeangalia ubora wa elimu unaotolewa na si idadi ya msukumo wa kuandikisha watoto kwenda kujoin shule, na pia wangeangalia je hao watoto hata darasa la tatu wanafika?
 
Back
Top Bottom