Malengo ya mwaka huu ni kukusanya Tsh milioni 1w

Friedrich Nietzsche

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
2,095
Reaction score
3,649
Mwaka huu malengo yangu ni kufikisha Milion 12.Ikumbukwe sijawai fika zaidi ya milion 6 ambayo nishafika mara moja nikadumu kwa mwezi mmoja.

MWAKA HUU NIMEJIPANGIA SAVING NIFIKE Milion 12.
Ikumbukwe saizi sina hata sumni

NISHAURINI MBINU ZA KUFIKIA










NB: Udhaifu wangu mkuu ni kupenda kitanda
 
n
na hapo gesti umelipa kiasi gani na hiyo pisi imekupiga bei gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…