Malengo ya Nusu fainali unaburuza mkia na point 2 klabu bingwa

Malengo ya Nusu fainali unaburuza mkia na point 2 klabu bingwa

Gordian Anduru

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2021
Posts
369
Reaction score
747
Nimekuta watu wanajadili kuhusu malengo ya Nusu fainali na Kuwa na point mbili nadhani watakiwa wanaizungumzia Klabu ya Union Berlin ya ujerumani ambayo imeshika mkia kundi C linaloongozwa na Real Madrid.
Nb. Zile kelele za Yanga ya mwisho Kwenye kundi Ina point 2 Bado zipo huko kwenu?
 
Huu muda uliopoteza kuandika huu ujinga,ungeutumia vyema ungepata faida zaidi, Hizi aibu ndogondogo mbona zinaepukika! Sometimes ficha ujinga wako, sio lazima kila mtu ajue.
 
Back
Top Bottom