Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Unapoanza mwaka mpya kila mmoja anakuwa na malengo yake ya mwaka husika anayohitaji kuyafikia ili kupiga hatua katika maisha yake.
Ukitazama sasa tumesalia mwezi mmoja kutoka sasa kukamilisha au kufunga mwaka 2024 bila shaka utakuwa unapicha nzuri ya kile ulichojiwekea malengo yako.
Tuambie je umefanikiwa hadi sasa au unaona mambo ni magumu au unasikilizia hadi siku ya mwisho ya mwaka?
Ukitazama sasa tumesalia mwezi mmoja kutoka sasa kukamilisha au kufunga mwaka 2024 bila shaka utakuwa unapicha nzuri ya kile ulichojiwekea malengo yako.
Tuambie je umefanikiwa hadi sasa au unaona mambo ni magumu au unasikilizia hadi siku ya mwisho ya mwaka?