TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,399
- 8,594
Habari wana JF,
Nikiwa kama kijana ambae natafuta mafanikio kwa njia ya halali navuja jasho asubuhi machana kutwa nikitafuta mafanikio na kujenga msingi wa familia yangu waweze kuishi maisha mazuri yenye furaha ""Pesa ndio sabuni ya Roho""
Hapo hapo naendelea kufanya ibada ili nipate baraka na Neema kutoka kwa mola wangu muumba wa mbingu na ardhi ukiwa mwezi mtukufu wa Ramadhani naomba kuwatakia mfungo mwema waislam wenzangu.
Tuendelee kuupa eshima mwezi mtukufu kwani ni mwezi ambao umeshushwa Qruan ndani yake.
Nisiwachoshe sana naomba niingie kwenye mada husika.
Kwasasa nafanya biashara ya Duka la Jumla bidhaa kama Tambi mafuta ya kura sababu nk...najua wengi wanaelewa nature ya Duka la Jumla.
Mapema mwanzoni mwaka jana nikapata wazo la kujiwekea wakiba kwani ""NdoNdo si Chururu"
Nikapata wazo la kujiwekea 27,500 kila siku 27,500[emoji808]365 = 10,037,500 ndani ya mwaka 2017 nikafanikiwa kuweza kupata milion 10 hii ilinipa hamasa na kunipa ujasiri mkubwa.
Lakini Target yangu kwa mwaka niweze kuingiza 25 milioni naomba ushauri wenu wana JF.
Ahsanteni
Nikiwa kama kijana ambae natafuta mafanikio kwa njia ya halali navuja jasho asubuhi machana kutwa nikitafuta mafanikio na kujenga msingi wa familia yangu waweze kuishi maisha mazuri yenye furaha ""Pesa ndio sabuni ya Roho""
Hapo hapo naendelea kufanya ibada ili nipate baraka na Neema kutoka kwa mola wangu muumba wa mbingu na ardhi ukiwa mwezi mtukufu wa Ramadhani naomba kuwatakia mfungo mwema waislam wenzangu.
Tuendelee kuupa eshima mwezi mtukufu kwani ni mwezi ambao umeshushwa Qruan ndani yake.
Nisiwachoshe sana naomba niingie kwenye mada husika.
Kwasasa nafanya biashara ya Duka la Jumla bidhaa kama Tambi mafuta ya kura sababu nk...najua wengi wanaelewa nature ya Duka la Jumla.
Mapema mwanzoni mwaka jana nikapata wazo la kujiwekea wakiba kwani ""NdoNdo si Chururu"
Nikapata wazo la kujiwekea 27,500 kila siku 27,500[emoji808]365 = 10,037,500 ndani ya mwaka 2017 nikafanikiwa kuweza kupata milion 10 hii ilinipa hamasa na kunipa ujasiri mkubwa.
Lakini Target yangu kwa mwaka niweze kuingiza 25 milioni naomba ushauri wenu wana JF.
Ahsanteni