Malengo yangu ni kuandaa miche 20,000 ya michungwa

Malengo yangu ni kuandaa miche 20,000 ya michungwa

Mkulima na Mfugaji

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
1,047
Reaction score
1,832
Hii ni project ya miaka 3 ambayo nimeianza Rasmi mwaka jana kwa kuotesha kitalu cha milimau, na kuipanditikiza pembeni kwa ajili ya kufanyiwa bading, mwaka huu iko stages nzur tu na mwakani Mungu ajaliapo nafanya bading, baada ya mwaka moja miche itakua tayar kwa kuuza,michungwa ambayo natarajia kuwa nayo ni aina ya Valencia ambayo soko lake halisumbui

Makadirio ya mapato

Idadi ya miche ni 20000
Bei ya mche mmoja natarajia kuuza Tsh 1500

Hivyo makadirio ya mapato ni

20000×1500=30000000/=

Nimeshaianza safari Namuomba Mungu aniwezeshe
Hii project kwa 100% naifanya mwenyewe

Karibu kwa ushauri, kuuliza au kuomba ushauri
 
Mimi binafsi....
Hakuna kitu naogopa kama kufanya mahesabu biashara, kilimo na kupata faida nikiwa nyuma ya keyboard
 
Wazo zuri
naomba kujua inaanza kuzaa matunda baada ya muda gani ikiwa shambani Mkuu
 
Hii ni project ya miaka 3 ambayo nimeianza Rasmi mwaka jana kwa kuotesha kitalu cha milimau, na kuipanditikiza pembeni kwa ajili ya kufanyiwa bading, mwaka huu iko stages nzur tu na mwakani Mungu ajaliapo nafanya bading, baada ya mwaka moja miche itakua tayar kwa kuuza,michungwa ambayo natarajia kuwa nayo ni aina ya Valencia ambayo soko lake halisumbui

Makadirio ya mapato

Idadi ya miche ni 20000
Bei ya mche mmoja natarajia kuuza Tsh 1500

Hivyo makadirio ya mapato ni

20000×1500=30000000/=

Nimeshaianza safari Namuomba Mungu aniwezeshe
Hii project kwa 100% naifanya mwenyewe

Karibu kwa ushauri, kuuliza au kuomba ushauri
Jitahidi ujue Afya ya udongo wa eneo unalotarajia kupanda hayo matunda.Soil PH ina impact kubwa Kwenye Ladha ya michungwa.
 
Hii ni project ya miaka 3 ambayo nimeianza Rasmi mwaka jana kwa kuotesha kitalu cha milimau, na kuipanditikiza pembeni kwa ajili ya kufanyiwa bading, mwaka huu iko stages nzur tu na mwakani Mungu ajaliapo nafanya bading, baada ya mwaka moja miche itakua tayar kwa kuuza,michungwa ambayo natarajia kuwa nayo ni aina ya Valencia ambayo soko lake halisumbui

Makadirio ya mapato

Idadi ya miche ni 20000
Bei ya mche mmoja natarajia kuuza Tsh 1500

Hivyo makadirio ya mapato ni

20000×1500=30000000/=

Nimeshaianza safari Namuomba Mungu aniwezeshe
Hii project kwa 100% naifanya mwenyewe

Karibu kwa ushauri, kuuliza au kuomba ushauri
Kila la kheri napenda sana kilimo na ufugaji....
 
Hii ni project ya miaka 3 ambayo nimeianza Rasmi mwaka jana kwa kuotesha kitalu cha milimau, na kuipanditikiza pembeni kwa ajili ya kufanyiwa bading, mwaka huu iko stages nzur tu na mwakani Mungu ajaliapo nafanya bading, baada ya mwaka moja miche itakua tayar kwa kuuza,michungwa ambayo natarajia kuwa nayo ni aina ya Valencia ambayo soko lake halisumbui

Makadirio ya mapato

Idadi ya miche ni 20000
Bei ya mche mmoja natarajia kuuza Tsh 1500

Hivyo makadirio ya mapato ni

20000×1500=30000000/=

Nimeshaianza safari Namuomba Mungu aniwezeshe
Hii project kwa 100% naifanya mwenyewe

Karibu kwa ushauri, kuuliza au kuomba ushauri
Kama hesabu hakk ni miche elfu2 basi jitahidi uzidishe hata miche mia ya kufidia hasara, kama kuna ambayo itakufa.
 
Hii ni project ya miaka 3 ambayo nimeianza Rasmi mwaka jana kwa kuotesha kitalu cha milimau, na kuipanditikiza pembeni kwa ajili ya kufanyiwa bading, mwaka huu iko stages nzur tu na mwakani Mungu ajaliapo nafanya bading, baada ya mwaka moja miche itakua tayar kwa kuuza,michungwa ambayo natarajia kuwa nayo ni aina ya Valencia ambayo soko lake halisumbui

Makadirio ya mapato

Idadi ya miche ni 20000
Bei ya mche mmoja natarajia kuuza Tsh 1500

Hivyo makadirio ya mapato ni

20000×1500=30000000/=

Nimeshaianza safari Namuomba Mungu aniwezeshe
Hii project kwa 100% naifanya mwenyewe

Karibu kwa ushauri, kuuliza au kuomba ushauri
Nahitaji kuanza kilimo cha machungwa Tanga, jamaa nae mtegemea kama mwenyeji wangu huko kilasiku ananirudi, naomba msaada na muongozo wako Mkuu
 
Hii ni project ya miaka 3 ambayo nimeianza Rasmi mwaka jana kwa kuotesha kitalu cha milimau, na kuipanditikiza pembeni kwa ajili ya kufanyiwa bading, mwaka huu iko stages nzur tu na mwakani Mungu ajaliapo nafanya bading, baada ya mwaka moja miche itakua tayar kwa kuuza,michungwa ambayo natarajia kuwa nayo ni aina ya Valencia ambayo soko lake halisumbui

Makadirio ya mapato

Idadi ya miche ni 20000
Bei ya mche mmoja natarajia kuuza Tsh 1500

Hivyo makadirio ya mapato ni

20000×1500=30000000/=

Nimeshaianza safari Namuomba Mungu aniwezeshe
Hii project kwa 100% naifanya mwenyewe

Karibu kwa ushauri, kuuliza au kuomba ushauri
Safi sana ndugu. Nimevutiwa pia. Je nikihitaji vikonyo vya hiyo michungwa ya valencia kwa ajili ya bading/pading kwa huku mwanza, napataje. Naomba muongozo. Asante
 
Hii ni project ya miaka 3 ambayo nimeianza Rasmi mwaka jana kwa kuotesha kitalu cha milimau, na kuipanditikiza pembeni kwa ajili ya kufanyiwa bading, mwaka huu iko stages nzur tu na mwakani Mungu ajaliapo nafanya bading, baada ya mwaka moja miche itakua tayar kwa kuuza,michungwa ambayo natarajia kuwa nayo ni aina ya Valencia ambayo soko lake halisumbui

Makadirio ya mapato

Idadi ya miche ni 20000
Bei ya mche mmoja natarajia kuuza Tsh 1500

Hivyo makadirio ya mapato ni

20000×1500=30000000/=

Nimeshaianza safari Namuomba Mungu aniwezeshe
Hii project kwa 100% naifanya mwenyewe

Karibu kwa ushauri, kuuliza au kuomba ushauri
Walau ungeweka picha ya viriba tu ingetoa taswira nzuri kwa wengi ila bila picha ni Chai iliyotukuka,kila la kheri
FB_IMG_1711124859797.jpg
 
Nahitaji kuanza kilimo cha machungwa Tanga, jamaa nae mtegemea kama mwenyeji wangu huko kilasiku ananirudi, naomba msaada na muongozo wako Mkuu
Njoo pm
Nahitaji kuanza kilimo cha machungwa Tanga, jamaa nae mtegemea kama mwenyeji wangu huko kilasiku ananirudi, naomba msaada na muongozo wako Mkuu
Njoo pm tuyajenge
 
Back
Top Bottom